GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #141
A Fool like you will remain a Fool forever."Simba waige mbinu za Yanga zitawasaidia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano mfululizo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A Fool like you will remain a Fool forever."Simba waige mbinu za Yanga zitawasaidia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano mfululizo"
Kamuulize yule Jamaa yako anayekukaza.Vipi kuhusu kafara, nayo tuige?
Thanks for accepting that you're one of the Senior Moron on the Forum and you have all the Characters of an Uncircumcised Baboon.The main indicator of a fool is multiple use of unpleasant phrases and words.
I congratulate you being among of the less trained local member! You're representing other fellows of yours.
Ukoo wako ungempata hata Mtu Mmoja tu mwenye angalau hata 15% tu ya 120% IQ yangu ungeringa na Kushangilia ila bahati mbaya imekuwa kinyume na kwamba kuanzia Wewe na Wao jumla ya IQ's zote ni - 0.3%.Mpumbavu hua ana inferior za uoga, mara zote hujihisi kua watu waliomzunguka wanamuona mpumbavu na namna pekee ya ku conquer hiyo situation ni kujisemea kua yeye ni intelligent
Umeniuliza Swali la Kishoga ( Kimwendo ) mno vipi na Wewe labda ni Mwendo ( Shoga ) au?Mbona umepanick sana.
Bila shaka umetoka kukazwaKamuulize yule Jamaa yako anayekukaza.
Ungana na Manara mkawasaidie UTOA Fool like you will remain a Fool forever.
Umestaafu lini Kukazwa labda Mwenzetu?Bila shaka umetoka kukazwa
Na Wewe 'Mabasha' zako wanaolishughulikia vilivyo hilo 'Nyabenga' lako nao huwa wanaungana?Ungana na Manara mkawasaidie UTO
Akili za kutafuta sifa, unatukana kama vile ndiyo kupata heshima! S.o.bThanks for accepting that you're one of the Senior Moron on the Forum and you have all the Characters of an Uncircumcised Baboon.
Mbona hivi sasa umeandika kwa Kiswahili na siyo tena na kile Kiingereza chako cha Darasa la Tatu Shule ya Msingi?Akili za kutafuta sifa, unatukana kama vile ndiyo kupata heshima! S.o.b
Dogo nina uwezo wa kutumia lugha tano za kimataifa kwa ufasaha, ukitaka kiingereza siyo tabu kwangu.Mbona hivi sasa umeandika kwa Kiswahili na siyo tena na kile Kiingereza chako cha Darasa la Tatu Shule ya Msingi?
Kweli Genta "Ukweli utakuweka huru"Najua huko ( huku ) Mitaani sasa Gumzo ni Yanga SC 'Kanunua' kwa KMC FC na kwamba Kipa Farouq Shikalo na Beki Vicent Dante Chikupe ndiyo 'wamechomesha' kwa Kuchukua 'Mlungula' Yanga SC kwakuwa walitoka huko.
Nadhani JamiiForums nzima hakuna asiyejua kuwa GENTAMYCINE Mimi ni Simba SC 'lia lia' na kama kuna Timu au Klabu siipendi duniani basi ni Yanga ( japo kwa Ulaya ni Manchester United nayo siipendi pia ) ila leo nataka kusema Ukweli bila kuwa Mnafiki na Mgumu wa Kukubali Uzuri wa Kikosi cha Yanga SC na Mikakati yao ya 'Kiufundi' Uwanjani.
Ufuatao ni Mtizamo wangu GENTAMYCINE wa Jicho la 'Kiufundi' la kwanini Yanga SC inafanya vyema katika NBC Tanzania Premier League na kama Timu zote Pinzani ( ikiwemo yangu ya Simba SC ) zisipojipanga 'Kimkakati' zitafungwa sana tu na kuendelea Kuimba Wimbo wetu wa Kipumbavu ( Kipopoma ) wenye 'Wivu' mwingi kuwa Yanga SC inabebwa au inahonga Timu ( Vilabu ) Pinzani......
1. Yanga SC wamesajili Kiushindani
2. Yanga SC ina Wachezaji wenye Tamaa ya Mafanikio
3. Yanga SC ina Kocha mwenye Kipaji cha Kuwasoma Wapinzani hasa Kiudhaifu wao
4. Yanga SC ina Wachezaji mahiri wa Kigeni wenye kujua Kumaliza Mechi
5. Yanga SC imefanikiwa zaidi Kuwajenga 'Kinguvu' Wachezaji wake na nampa mno Sifa Kocha wao mpya wa Viungo kwani Wachezaji wa Yanga SC wa sasa wana Nguvu na inawasaidia
6. Yanga SC wana Mshikamano mkubwa kuanzia ndani kwa Wachezaji wao husika na hata nje wa Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wao
7. Yanga SC ina Wachezaji wenye 'Confidence' ya hali ya Juu kitu ambacho 'Kiufundi' pia huwa kina Faida na kuwa 'Tishio' kwa Timu (Vilabu) Pinzani.
Wana Simba SC Wenzangu leo mnisamehe Mwenzenu GENTAMYCINE kwa huu Ukweli na Uwazi wangu bali na Sisi hatujachelewa ama Kuyaiga baadhi au hata yote haya ya 'Kiufundi' kutoka kwa Wapinzani wetu Yanga SC ili tuendelee kuwa Bora zaidi yao ila tukizembea 'Kimikakati' basi ni dhahiri Msimu huu huenda Yanga SC nao wakajiuliza na hata Kutuvua Ubingwa.
Najua fika kuwa Ligi Kuu ndiyo Kwanza bado Mbichi ila Wahenga zetu hawakukosea walipokuja na hii 'Misemo' isemayo 'Dalili ya Mvua ni Mawingu' na 'Biashara asubuhi Mahesabu jioni' hivyo Simba SC tusibweteke wala tusikariri au tusiishi Kimazoea kwani si kila mwaka Upepo utakuwa upande Wetu tu na tusisahau kuwa hata Bingwa wa Msimu huu hachukui zile Shilingi Milioni 70 au Shilingi Milioni 80 tulizozizoea bali sasa anachukua Shilingi Milioni 500 kutoka Azam.
Hongereni tu Watani zangu mpo vizuri.
Akili tu huna hizo Lugha Tano uzijue wapi?Dogo nina uwezo wa kutumia lugha tano za kimataifa kwa ufasaha, ukitaka kiingereza siyo tabu kwangu.
Kikubwa uwe na dictionary karibu ili uokoteze mawili matatu.
Popoma wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante na wala sibadilishi nilichokisema.Kweli Genta "Ukweli utakuweka huru"
Sawa mkuu kwa kuwa mkweli, maana ukweli umuweka mtu huru hofu yangu tu ni wanalialia wenzako watakutua vidole kwa machoNajua huko ( huku ) Mitaani sasa Gumzo ni Yanga SC 'Kanunua' kwa KMC FC na kwamba Kipa Farouq Shikalo na Beki Vicent Dante Chikupe ndiyo 'wamechomesha' kwa Kuchukua 'Mlungula' Yanga SC kwakuwa walitoka huko.
Nadhani JamiiForums nzima hakuna asiyejua kuwa GENTAMYCINE Mimi ni Simba SC 'lia lia' na kama kuna Timu au Klabu siipendi duniani basi ni Yanga ( japo kwa Ulaya ni Manchester United nayo siipendi pia ) ila leo nataka kusema Ukweli bila kuwa Mnafiki na Mgumu wa Kukubali Uzuri wa Kikosi cha Yanga SC na Mikakati yao ya 'Kiufundi' Uwanjani.
Ufuatao ni Mtizamo wangu GENTAMYCINE wa Jicho la 'Kiufundi' la kwanini Yanga SC inafanya vyema katika NBC Tanzania Premier League na kama Timu zote Pinzani ( ikiwemo yangu ya Simba SC ) zisipojipanga 'Kimkakati' zitafungwa sana tu na kuendelea Kuimba Wimbo wetu wa Kipumbavu ( Kipopoma ) wenye 'Wivu' mwingi kuwa Yanga SC inabebwa au inahonga Timu ( Vilabu ) Pinzani......
1. Yanga SC wamesajili Kiushindani
2. Yanga SC ina Wachezaji wenye Tamaa ya Mafanikio
3. Yanga SC ina Kocha mwenye Kipaji cha Kuwasoma Wapinzani hasa Kiudhaifu wao
4. Yanga SC ina Wachezaji mahiri wa Kigeni wenye kujua Kumaliza Mechi
5. Yanga SC imefanikiwa zaidi Kuwajenga 'Kinguvu' Wachezaji wake na nampa mno Sifa Kocha wao mpya wa Viungo kwani Wachezaji wa Yanga SC wa sasa wana Nguvu na inawasaidia
6. Yanga SC wana Mshikamano mkubwa kuanzia ndani kwa Wachezaji wao husika na hata nje wa Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wao
7. Yanga SC ina Wachezaji wenye 'Confidence' ya hali ya Juu kitu ambacho 'Kiufundi' pia huwa kina Faida na kuwa 'Tishio' kwa Timu (Vilabu) Pinzani.
Wana Simba SC Wenzangu leo mnisamehe Mwenzenu GENTAMYCINE kwa huu Ukweli na Uwazi wangu bali na Sisi hatujachelewa ama Kuyaiga baadhi au hata yote haya ya 'Kiufundi' kutoka kwa Wapinzani wetu Yanga SC ili tuendelee kuwa Bora zaidi yao ila tukizembea 'Kimikakati' basi ni dhahiri Msimu huu huenda Yanga SC nao wakajiuliza na hata Kutuvua Ubingwa.
Najua fika kuwa Ligi Kuu ndiyo Kwanza bado Mbichi ila Wahenga zetu hawakukosea walipokuja na hii 'Misemo' isemayo 'Dalili ya Mvua ni Mawingu' na 'Biashara asubuhi Mahesabu jioni' hivyo Simba SC tusibweteke wala tusikariri au tusiishi Kimazoea kwani si kila mwaka Upepo utakuwa upande Wetu tu na tusisahau kuwa hata Bingwa wa Msimu huu hachukui zile Shilingi Milioni 70 au Shilingi Milioni 80 tulizozizoea bali sasa anachukua Shilingi Milioni 500 kutoka Azam.
Hongereni tu Watani zangu mpo vizuri.
Hizo zote ni hasira nakufahamu kifupi nyundo sura mbayaaa. Hujiamini ndo maana kutukana kwako ni fashion. Yani uliposema umesoma SAUT na jinsi unavyojibu jibu watu nimeikufahamu mpaka shati lako ulilokua unavaa kwa wiki nzima bila kubadilisha. Ulikua unajiona kichwaaa wakati unazidiwa mbali na kina fulani siwataji. Au unataka nikutajie jina lako hapa na uliekua unaishi nae room? Ulikua unakula makarai na masupp kila semister. Wadanganye wasiokufahamu. Ukibisha sema suuu nikutaje hapa... hahahahahaUmeniuliza Swali la Kishoga ( Kimwendo ) mno vipi na Wewe labda ni Mwendo ( Shoga ) au?
Usiogope hawaniwezi na Moto wangu wanaujua vyema tu hapa JamiiForums kwani huwa hauzimiki Kiurahisi na huangamiza kila Adui ajaye mbele yangu.Sawa mkuu kwa kuwa mkweli, maana ukweli umuweka mtu huru hofu yangu tu ni wanalialia wenzako watakutua vidole kwa macho
AhahahaaHivi we jamaa hawa yanga unataka kuwa kopa ama nini, mbona unawapa ujiko hivi?
Kwa Kujiamini kabisa tena kwa Jeuri zote nakuruhusu unitaje Majina yangu mpaka Picha zangu weka pia sawa?Hizo
Hizo zote ni hasira nakufahamu kifupi nyundo sura mbayaaa. Hujiamini ndo maana kutukana kwako ni fashion. Yani uliposema umesoma SAUT na jinsi unavyojibu jibu watu nimeikufahamu mpaka shati lako ulilokua unavaa kwa wiki nzima bila kubadilisha. Ulikua unajiona kichwaaa wakati unazidiwa mbali na kina fulani siwataji. Au unataka nikutajie jina lako hapa na uliekua unaishi nae room? Ulikua unakula makarai na masupp kila semister. Wadanganye wasiokufahamu. Ukibisha sema suuu nikutaje hapa... hahahahaha