MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Yaani kuwa mtumishi Halmashauri ni kama laana, kimshahara chenyewe cha mtumishi ni kidogo, alipe Kodi ya nyumba.
Bado Serikali inashirikiana na vyama vya Wafanyakazi kukata pesa za mishahara ya Watumishi bila msaada, then kwenye kimshahara hicho hicho bado unatishiwa na kulazimisha kuchangia Mwenge.
MKURUGENZI AFAFANUA
Lena Nkaya
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara, Lena Nkaya amesema “Huo ndio utaratibu unaotumika kwingine, unaweza kuuliza kwingine pia.
“Mimi nilikuwa nimesafiri, ofisi nikamkabidhi Afisa Elimu Msingi, nadhani wao wamekaa na kukubaliana hilo suala, nitafuatilia kuona kama kweli kuna Walimu ambao hawakushirikishwa na wanalalamika.
“Lakini utamaduni wao huwa wanafanya hivyo, waliojiwekea kama Wadau wa Mwenge au Wadau wa maendeleo, mfano wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara, wafugaji na kigezo kimojawapo kinachotumiwa ni jinsi ambavyo walikusanya michango wakairudisha kwenye jamii.
“Sijui kuhusu Halmashauri nyingine wanafanyaje lakini unaweza kuuliza ukapata utaratibu wao upoje."
Bado Serikali inashirikiana na vyama vya Wafanyakazi kukata pesa za mishahara ya Watumishi bila msaada, then kwenye kimshahara hicho hicho bado unatishiwa na kulazimisha kuchangia Mwenge.
MKURUGENZI AFAFANUA
Lena Nkaya
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Ifakara, Lena Nkaya amesema “Huo ndio utaratibu unaotumika kwingine, unaweza kuuliza kwingine pia.
“Mimi nilikuwa nimesafiri, ofisi nikamkabidhi Afisa Elimu Msingi, nadhani wao wamekaa na kukubaliana hilo suala, nitafuatilia kuona kama kweli kuna Walimu ambao hawakushirikishwa na wanalalamika.
“Lakini utamaduni wao huwa wanafanya hivyo, waliojiwekea kama Wadau wa Mwenge au Wadau wa maendeleo, mfano wafanyakazi, wakulima, wafanyabiashara, wafugaji na kigezo kimojawapo kinachotumiwa ni jinsi ambavyo walikusanya michango wakairudisha kwenye jamii.
“Sijui kuhusu Halmashauri nyingine wanafanyaje lakini unaweza kuuliza ukapata utaratibu wao upoje."