Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waalimu ndio the most loyal of all! Huwa wanakubali kila kitu.Yaani mishahara yenu midogo, mapunjo na maslahi mengine kulipwa ni mbinde, matibabu mnayopaswa kugharamiwa ni kama fadhila lakini bado mnachangishwa kwa nguvu kutoka katika mishahara yenu kugharimia mbio za Mwenge kama kwamba nyie ndio mlioziomba zifanyike.
Na kwa nini kila michango mna ng'ang'aniwa nyie zaidi ya watumishi wengine wa Umma?
Hili la huko Ifakara nadhani ni la nchi nzima na hamuwezi kulipambania kwa sababu chama chenu CWT ni tawi la CCM na mmelikubali hilo kwa furaha.
Mpaka lini mtakubali unyonge huu?
View attachment 2567023
Asipochangia ataripotiwa kwa mkurugenzi na afisa elimu. Kisha atakumbana na yafuatayo:Kwani mkikataa kuchangia watawafanya nini? Huu ni upumbaf
Kada zote zina changa kumbuka hiyo barau ni kada ya Elimu,bado kuna barau kada ya afya Arudhi utumishi nakadhalikaIvi mwenge unahusu walimu tu? Kwanini wachange peke yao? Aya mambo sio ya kuendekeza mwenge una bajeti yake iweje uchangiwe kwa account za michongo? Hivi vitu vinafanyika nchi nzima mwaka jana nilikisikia malalamishi kuwa pesa hizo zilipigwa na watoto waliohusika kuchezea mwenge walitolewa kapa.
Tutafika kweli? Wapi nchi inaelekea! Tulishasema zima mwenge uweke makumbusho hatuna faida za mwenge ni hasara tupu na matumizi mabaya ya kodi zetu.
View attachment 2567090
Huo uchangishwaji kwa shuruti ni uonevu.