Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wamefanya niniWalimu wa hii nchi ni wajinga saana
Mwenge Unatija sana. Swali langu ni kwa nini mwenge usitengewe bajeti yake na ihidhinishwe na Bunge kabisa? Ili kuepuka ukunjaji uso wa watoa michango.Kwani huo mwenge una tija
Watajuana na mwajiri wao, kama wao wenyewe hawawezi kusimama kujitetea tuwaache wameridhikaYaani mishahara yenu midogo, mapunjo na maslahi mengine kulipwa ni mbinde, matibabu mnayopaswa kugharamiwa ni kama fadhila lakini bado mnachangishwa kwa nguvu kutoka katika mishahara yenu kugharimia mbio za Mwenge kama kwamba nyie ndio mlioziomba zifanyike.
Na kwanini kila michango mnang'ang'aniwa nyie zaidi ya watumishi wengine wa Umma?
Hili la huko Ifakara nadhani ni la nchi nzima na hamuwezi kulipambania kwa sababu chama chenu CWT ni tawi la CCM na mmelikubali hilo kwa furaha.
Mpaka lini mtakubali unyonge huu?
Hata mimi huyo MBWA amenikera sana sana!! Huyu mwalimu anayemtukana siye aliyeandika barua.Tafadhari sana Kiongozi kwa heshima ya kutosha nikupayo naomba uwaombe radhi walimu wate wa Tanzania kwa kauli yako hapo juu. binafsi naona umepitiliza sana katika uhuru wako wa kutoa maoni kikatiba lakini pia unajinasibu vipi wewe ni msomi na mwerevu katika mambo mengi kama unamdharau Mwalimu wako aliekufundisha mpaka kufika hapa?
Unaandika kwa kufuata taratibu za uandishi na kupangilia Herufi vizuri bila kukosea na unamtukana aliekufundisha kuwa MJINGA SANA hii ni sawa kweli? Nilikuwa na nguvu za kusoma komenti za wadau lakini nilivyofika kwenye mchango wako nikakwama na kujisikia vibaya.
Ukiwa askari unaweza kutambua hili kwamba Senior kwako hubaki senior tu hata akistaafu na cheo kidogo kupita wewe.
Kwangu naona umeikosea Taaluma ya ualimu nchini na umewakosea walimu wetu na umewakosea watu wote waliopewa na kurithishwa taaluma na walimu hao.
Tija ipi kwa mfanoMwenge Unatija sana. Swali langu ni kwa nini mwenge usitengewe bajeti yake na ihidhinishwe na Bunge kabisa? Ili kuepuka ukunjaji uso wa watoa michango.
Si watoe za kwao mfukoni,wakimbize wengine wachangishwe wengine inakuja kweli hiiHizi fedha zinatumika wapi?
Nahisi ni posho kwa wakimbizaji wa mwenge
Mkuu tuwasaidie hawa watuWaalimu ndio the most loyal of all! Huwa wanakubali kila kitu.
P
Itafika wakati hawa walimu tuanze kuwapima akili zao huenda huwa wanatolewa ubongo maana hawajawahi kuhoji hata kukataa wao kila agizo ni mwendo wa ndio. Itafika wakati nitawatembezea viboko akili iwakae sawa malofa haya, ni majinga sana, yapo yapo tu tena huenda mwanafunzi ana akili kuliko mwalimu maana Kuna wanafunzi hata kuchapwa huwa wanakataa nawanafanya mgomo ila sio Kwa hawa kuku (mialimu)mpwayungu village njoo hapa kuna jambo lakooo.
Njoo utoe neno, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha yachangishwe hayana akili ni shamba la bibi hayoTeacher mpwayungu village kuna kipindi chako huku[emoji23]
Ataonekana shujaa akifanyiwa hayaAsipochangia ataripotiwa kwa mkurugenzi na afisa elimu. Kisha atakumbana na yafuatayo:
1. Atajenga bifu la hatari na mkuu wa shule
2. Atajenga bifu la hatari na afisa elimu.
3.Atajenga bifu na wapambe wa mkuu wa shule.
4. Ataishi kama mkimbizi
5.Hakuna fursa atakayokutana nayo
6. Kama yuko maeneo ya mjini ajiandae kuhamishiwa kikijini.
Wewe ungefanyaje? Hii ndio tz.
Ahsee utapigwa spana za kutosha na mkuu wa shule hata kusalimiana hamtasalimiana, wakuu wa shule ni mbwa wanaombweka. Akibweka walimu wote kimya [emoji28][emoji28][emoji28]Kwani nisipolipa itakuwaje mpwayungu village
Aisee, mimi ningeshafukuzwa kazini siki nyingi, kuna mambo siyo ya kuendekeza...Ahsee utapigwa spana za kutosha na mkuu wa shule hata kusalimiana hamtasalimiana, wakuu wa shule ni mbwa wanaombweka. Akibweka walimu wote kimya [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwaio mei mosi mtakuwa pamoja na walimu na watumishi wengine kudai maslahi Yao ?Yaani kuwa mtumishi Halmashauri ni Kama laana.
Kimshahara chenyewe Cha mtumishi ni kidogo, alipe Kodi ya nyumba.
Bado serikali inashirikiana na vyama vya wafanyakazi kukata pesa za mishahara ya watumishi bila msaada.
Then, kwenye kimshahara hicho hicho bado unatishiwa na kulazimisha kuchangia Mwenge.
View attachment 2566693
Yaani mishahara yenu midogo, mapunjo na maslahi mengine kulipwa ni mbinde, matibabu mnayopaswa kugharamiwa ni kama fadhila lakini bado mnachangishwa kwa nguvu kutoka katika mishahara yenu kugharimia mbio za Mwenge kama kwamba nyie ndio mlioziomba zifanyike.
Na kwanini kila michango mnang'ang'aniwa nyie zaidi ya watumishi wengine wa Umma?
Hili la huko Ifakara nadhani ni la nchi nzima na hamuwezi kulipambania kwa sababu chama chenu CWT ni tawi la CCM na mmelikubali hilo kwa furaha.
Mpaka lini mtakubali unyonge huu?