Msimu wa Mateso kwa Watumishi: Halmashauri zimeanza kuwatishia Walimu na watumishi wengine kutoa mchango wa Mwenge, 2023

Nadhani kama kuna watu wana maslahi kwenye huo ushirikina unaoitwa mwenge wangejaza wenyewe mafuta kuliko kuwafanya walimu kuishi katika hali ya mashaka kwenye nchi yao wenyewe.
 
Watajuana na mwajiri wao, kama wao wenyewe hawawezi kusimama kujitetea tuwaache wameridhika
 
Hata mimi huyo MBWA amenikera sana sana!! Huyu mwalimu anayemtukana siye aliyeandika barua.

Sote kupitia barua hiyo tumejifunza namna ambavyo kundi hili muhimu linavyoonewa.

Hivi katika mazingira hayo angekuwa ni yeye angefanya nini? Kwa sasa walimu hawastahili kujipigania wao wenyewe, bali Watanzania wote tunatakiwa kuwapigania.

Ni bahati mbaya sana CWT siyo tena Chama cha kuwatetea...na bahati mbaya sana sana CHADEMA iliyokuwa ya Dr Slaa siyo hii ya Mbowe na Lema ambayo baada ya kushiba inatukana kila mtu!

Huenda huyu anayetukana walimu ni LEMA!! Kashiba burger
 
Huo moto wa kichawi si unayo bajeti yake KILA mwaka au wajanja wanataka kupitia humo humo
 
mpwayungu village njoo hapa kuna jambo lakooo.
Njoo utoe neno, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itafika wakati hawa walimu tuanze kuwapima akili zao huenda huwa wanatolewa ubongo maana hawajawahi kuhoji hata kukataa wao kila agizo ni mwendo wa ndio. Itafika wakati nitawatembezea viboko akili iwakae sawa malofa haya, ni majinga sana, yapo yapo tu tena huenda mwanafunzi ana akili kuliko mwalimu maana Kuna wanafunzi hata kuchapwa huwa wanakataa nawanafanya mgomo ila sio Kwa hawa kuku (mialimu)
 
Ataonekana shujaa akifanyiwa haya
 
Ahsee utapigwa spana za kutosha na mkuu wa shule hata kusalimiana hamtasalimiana, wakuu wa shule ni mbwa wanaombweka. Akibweka walimu wote kimya [emoji28][emoji28][emoji28]
Aisee, mimi ningeshafukuzwa kazini siki nyingi, kuna mambo siyo ya kuendekeza...
 
Kwaio mei mosi mtakuwa pamoja na walimu na watumishi wengine kudai maslahi Yao ?

Au nini kifanyike ?

Hao wenye laana ya kuwa watumishi wa HALMASHAURI wana muhudumia nani ? Je watoa huduma kwa niaba Yao wenyewe ?

Hakuna haja watu kutafuta taaluna za kuja kutumikia watu katika HALMASHAURI kwa sababu ni laana wanayoyafanya ?

Taaluma ya ualimu na ikimbiwe kwa hujuhudi zote maana ni laana, na hivyo serikali isijisumbue huko ?

Hitimisho: tuiopongeze serikali kwa kutokuajili walimu na kutotoa ajira kwa wataalami katika HALMASHAURI hivyo kuwaepusha vijana wetu na laana.


Siii Siii Eemu Oee.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…