Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Msimvimbisheni kichwa Mwingira, hana uwezo wa kupambana na Serikali

Wabongo ni Mabingwa sana wa USHABIKI na UNAFIKI.

Wataku-PUMP balaa ili ujichomeke kwenye VITA ukifikiri wako na wewe. Likikutokea lolote unajikuta uko peke yako.

Kama huwajui wabongo muulize Mange Kimambi, Mbowe, na Tundu Lissu.

Lissu aliwahi kukasirika mpaka kuita Taifa la waomba Mungu[emoji1787]

In short, Ili uonekane shujaa unatakiwa kuwa unaiponda sana serikali na Rais halafu na Rais anatakiwa akuache tu maana ndio unajijenga hivyo.

Na sasa hivi kwasababu ni Rais muislam, akianza kumpiga battle huyo mwingine, propagandanists wanaweza kuja na stori za kwasababu ni Mkristo, na unajua mashabiki wa bongo hawana akili.

Ila Rais anaweza kukufanya chochote wakati wowote na hakuna kitu utafanya.

Yuko wapi Azory Gwanda, Kanguye na Ben Saanane. Leo kila shabiki anaendelea na maisha yake utafikiri hakuna kitu kilichotokea.

Busara ni moja, usijiingize kupigana VITA ambayo unajua kabisa HUWEZI KUSHINDA.
Sawa hawapo je yeye yupo? Mungu ni Fundi siku zote

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Suala sio kutishwa.

Tuuma alizitoa, zilipe jeshi la polisi nafasi ya kuaminika na RAIA.
 
Aina hii ya siasa kwa nchi za kiafrika ni ya kijima sana .

Ingawa sikubaliani na Mwingira,

Ila sioni sababu ya state apparatus kushughulika na raia ambaye anatumia haki yake tu ya kutoa maoni.

Tujifunze kuvumiliana katika jamii zetu.

Nchi nzima hatuwezi kuwa mazombie.

Acha watu waongee.

Mbona Mungu mwenyewe katupa uhuru wa kuchagua sembuse sisi binadamu??

Haya mambo ya kijima tuachane nayo jamani.
 
Back
Top Bottom