Msinielewe Vibaya: Nimeamua kujiunga na team "Kataa Ndoa"

Naoma Mwalimu kapindua meza, kumbe ualimu ni kazi ya kueleweka! wewe endelea kukaa mwenyewe kama mchawi huko ticha anapewa yote anajipigia recho wako hapangiwi pa kumwagia.
 
Zaidi ya k mwanamke hana kingine cha Ku offer kwenye mahusiano.

Wewe tafuta hela kula mbususu enjoy maisha. Ndoa ni mfumo wa maisha uliofeli zama hizi
Mwanamke tofauti na K" atakuoffer umasikini na hakika utajutia sana na kuishi maisha ya kujihukumu daily

Nb: sishauri mwanaume mwezangu kuoa, japo mimi nitaoa
 
"nimekuwa nakutana na materialistic girls, single moms na waovu wengine"

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hongera ndgu
 
Peer pressure..tulia tuliza ki moyo hicho...ukiwa mkubwa mkubwa utabadili mawazo
 
kijana,mpaka unatafuta mke mitandaoni ni dhahiri kuna shida sehemu.😂😂

sawa mama mkwe alikuwa na wenge,ni baada ya kuona hueleweki.sawa recho umemkosa lakini inaonekana bado unampenda kweli kweli,huna sifa zile za kiume kuruhusu jambo lipite na kushika mengine,ona sasa umezira ndoa kabisa.

tungekuwa sisi vijana wa dunia ya sasa mdogo wake recho angeliwa na hata mama mtu pia maana anaonekana nayeye umeme umezidi kichwani,hakuna kufa kinyonge maisha lazima yaendelee kivita namna hiyo.

na hata siku moja hatuwezi ikataa ndoa,jambo lenye heri kabisa la kupendeza😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…