Hii imeenda π€£
Hahahahahah[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.
Wengi walikuwa hawaja zaliwael nino ilikuwa mwaka 1997/98 wanaume wa Dar acheni uoga na kukuza mambo madogo
DuvetTunajifunika na blanket broo.
mshamba_hachekwiEdo kissy inabidi mashangazi ya jf yafanye jambo.
Jua linawaka kabisa leoLeo kumetulia mkuu no rain no stress just normal
Ni mateso mpaka usiku wa mananeππππ Ni mateso sana
ππππhataree tupuNi mateso mpaka usiku wa manane
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.
ππππππ[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.
fanya michepuko kama uwekezaji na sio maadui,
you never know in future
Uwe makini jiko la mkaa linaua