Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 53
- 539
Watu wanaogopa kukamatwa mzee hakuna freedom of speech ata ningekuwa umo ningefanya unafiki ndiyo tunavyoenda sikuizi bro[emoji38] [emoji38] jf na uhalisia mtaani.
leo nikiwa kwenye daladala, mkuu mmoja akaanzisha mada kuhusu upinzani tz(kisa ilikuwa foreni). daladala zima kimyaa anasikilizwa yeye. alipochomekea uwezi wa jpm dhidi ya lissu watu karibia gari zima wakaanza kumpayuka.
huyu rais aachwe, asihusishwe na upuuzi wowote, lissu anatafuta huruma nk. yaani nikawaza mambo kadhaa.je jamaa kama alikiwa akipima upepo ameondoka na ujumbe gani!!!
Wajumbe wabaya sana, usiwaamini wajumbe hata siku moja.[emoji38] [emoji38] jf na uhalisia mtaani.
leo nikiwa kwenye daladala, mkuu mmoja akaanzisha mada kuhusu upinzani tz(kisa ilikuwa foreni). daladala zima kimyaa anasikilizwa yeye. alipochomekea uwezi wa jpm dhidi ya lissu watu karibia gari zima wakaanza kumpayuka.
huyu rais aachwe, asihusishwe na upuuzi wowote, lissu anatafuta huruma nk. yaani nikawaza mambo kadhaa.je jamaa kama alikiwa akipima upepo ameondoka na ujumbe gani!!!
ukamatwe na nani, kama wangelikaa kimya una hoja ya msingi.Watu wanaogopa kukamatwa mzee hakuna freedom of speech ata ningekuwa umo ningefanya unafiki ndiyo tunavyoenda sikuizi bro
Enjoy your moment kamanda!Tunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo.
Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.
Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.
View attachment 1533917
View attachment 1533918
View attachment 1533919
Hakuna mda watanzania ni wanafiki kama wakati huu washamsoma bro anapenda kuabudiwaukamatwe na nani, kama wangelikaa kimya una hoja ya msingi.
lakini sio kumvunja moyo mwenzao wanayefanana naye itikadi, hata kwa kumpa ujumbe kwamba tunaogopa tu, ila tuko pamoja nawewe.
nyinyi karirini na mjitie imani mbovu kwamba wanampaka mafuta.Hakuna mda watanzania ni wanafiki kama wakati huu washamsoma bro anapenda kuabudiwa
Rais ni mmoja tu. JPMTunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo.
Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.
Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.
View attachment 1533917
View attachment 1533918
View attachment 1533919
Wasipompitisha Lissu nchi italipuka moto.Tunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo.
Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.
Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.
View attachment 1533917
View attachment 1533918
View attachment 1533919
Hii stori mbona ata hainogi Kama huna nyingine nyamaza maana akuna kitu kinaitwa foreni tz.[emoji38] [emoji38] jf na uhalisia mtaani.
leo nikiwa kwenye daladala, mkuu mmoja akaanzisha mada kuhusu upinzani tz(kisa ilikuwa foreni). daladala zima kimyaa anasikilizwa yeye. alipochomekea uwezi wa jpm dhidi ya lissu watu karibia gari zima wakaanza kumpayuka.
huyu rais aachwe, asihusishwe na upuuzi wowote, lissu anatafuta huruma nk. yaani nikawaza mambo kadhaa.je jamaa kama alikiwa akipima upepo ameondoka na ujumbe gani!!!
Tena Moto mkubwa ambao hawataweza kuuzima.Wasipompitisha Lissu nchi italipuka moto.
Unachekesha kweliWasipompitisha Lissu nchi italipuka moto.
Kwa kipi has alichonacho SasaTena Moto mkubwa ambao hawataweza kuuzima.
Tunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo.
Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.
Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.
View attachment 1533917
View attachment 1533918
View attachment 1533919