Uchaguzi 2020 Msipompitisha Lissu watampigia Membe, msipompitisha Membe watampigia Rungwe, msipowapitisha wote raia watasusia uchaguzi

Uchaguzi 2020 Msipompitisha Lissu watampigia Membe, msipompitisha Membe watampigia Rungwe, msipowapitisha wote raia watasusia uchaguzi

[emoji38] [emoji38] jf na uhalisia mtaani.

leo nikiwa kwenye daladala, mkuu mmoja akaanzisha mada kuhusu upinzani tz(kisa ilikuwa foreni). daladala zima kimyaa anasikilizwa yeye. alipochomekea uwezi wa jpm dhidi ya lissu watu karibia gari zima wakaanza kumpayuka.

huyu rais aachwe, asihusishwe na upuuzi wowote, lissu anatafuta huruma nk. yaani nikawaza mambo kadhaa.je jamaa kama alikiwa akipima upepo ameondoka na ujumbe gani!!!
Kumbe ni wewe? Ungesema tofauti ningeshangaa
 
[emoji38] [emoji38] jf na uhalisia mtaani.

leo nikiwa kwenye daladala, mkuu mmoja akaanzisha mada kuhusu upinzani tz(kisa ilikuwa foreni). daladala zima kimyaa anasikilizwa yeye. alipochomekea uwezi wa jpm dhidi ya lissu watu karibia gari zima wakaanza kumpayuka.

huyu rais aachwe, asihusishwe na upuuzi wowote, lissu anatafuta huruma nk. yaani nikawaza mambo kadhaa.je jamaa kama alikiwa akipima upepo ameondoka na ujumbe gani!!!

Ukimsifia rais hadharani huna hofu ya kutekwa wala kuhujumiwa shughuli zako. Lakini ukionyesha kumpinga rais hadharani, kutekwa, kuhujumiwa shughuli zako ni njenje.
 
Kama Ni kweli Mwisho wake utakuwa mbaya Sanaa. Maana mtu akiwa anafukuzwa kwa karibu na Jitu la kutisha Mwishowake uwoga hutoweka.
 
Ukimsifia rais hadharani huna hofu ya kutekwa wala kuhujumiwa shughuli zako. Lakini ukionyesha kumpinga rais hadharani, kutekwa, kuhujumiwa shughuli zako ni njenje.
na ukimsifia hadharani unapata faida gani, kuliko ukiamua kukaa kimya??
 
Tunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo.

Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.

Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.


View attachment 1533917

View attachment 1533918

View attachment 1533919
Hayo ni mawazo yako tu.
 
Back
Top Bottom