Msipopeleka Timu tarehe 3 Simba SC inapewa 'points' 3 na kuwa Bingwa na mkipeleka Timu 'mnakufa' 5 kwa 0 Kazi Kwenu

Msipopeleka Timu tarehe 3 Simba SC inapewa 'points' 3 na kuwa Bingwa na mkipeleka Timu 'mnakufa' 5 kwa 0 Kazi Kwenu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hayati Rais Mstaafu 'Genius' Benjamin William Mkapa aliwahi kusema kuwa Siku zote Kupanga ni Kuchagua.

Mna Maamuzi mawili tu ya ama msipeleke Timu katika 'Derby' ya tarehe 3 July, 2021 ili Kanuni zifuatwe na Simba SC apewe alama (points) 3 na Goli 3 atangazwe 'Bingwa' rasmi.

Au muamue kupeleka Timu ila mjue kuwa mnaenda kukutana na dhahama ya Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC Kisha 'Ubingwa' unatangaziwa Kwenu na 'Kipigo' mlichokipata.

Ninasisitiza tena Kupanga ni Kuchagua.
 
Ni heri lawama kuliko fedheha!! Uto hatapeleka timu uwanjani!

Lawama ya kutokupeleka timu uwanjani inahimilika kuliko fedheha ya kupigwa mkono au wiki!! Ila ikitokea hivyo mwisho wa siku mambo yatafika FIFA!! Yakifika huko Tanzania haitabaki salama!!

Maana taarifa rasmi ya TFF ni kuwa serikali ndiyo iliyoagiza mechi isogezwe mbele!! Na FIFA hawataki serikali kuingilia mpira wa miguu. Ikithibitika serikali imeingilia TZ inafungiwa!!! Nguvu na jeuri ya uto iko hapo!!
 
Simba wamepoteana awajui Yanga wanataka kufanya nini na hivi ndivyo Yanga walivyo wazuri ki mkakati. Kwasasa Yanga wanajua kila kinacho endelea ndani ya Simba Ila Simba awajui Yanga wanataka kufanya nini na hii ndio imekua njia ambayo Yanga imekua iki idhibiti Simba kwa Sasa.
 
Simba mnayoizungumzia ni ile iliyopigwa miguu ya sturi kule sauz? Au ile iliyofungwa na Prisons pamoja na Ruvu shooting?
Ni hii ambayo unaikwepa kwepa kila siku. Nasikia hata gemu na biashara nusu fainali mtajifungisha ili kukwepa dhahama kama ile ya nusu fainali last season. Ila kitu kimoja mjue kuwa kifo hakikimbiwi, kitakufuata popote ulipo.
 
Hayati Rais Mstaafu 'Genius' Benjamin William Mkapa aliwahi kusema kuwa Siku zote Kupanga ni Kuchagua.

Mna Maamuzi mawili tu ya ama msipeleke Timu katika 'Derby' ya tarehe 3 July, 2021 ili Kanuni zifuatwe na Simba SC apewe alama (points) 3 na Goli 3 atangazwe 'Bingwa' rasmi.

Au muamue kupeleka Timu ila mjue kuwa mnaenda kukutana na dhahama ya Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC Kisha 'Ubingwa' unatangaziwa Kwenu na 'Kipigo' mlichokipata.

Ninasisitiza tena Kupanga ni Kuchagua.
Ukisimama nchale ukikaa nchale.
 
Simba wamepoteana awajui Yanga wanataka kufanya nini na hivi ndivyo Yanga walivyo wazuri ki mkakati. Kwasasa Yanga wanajua kila kinacho endelea ndani ya Simba Ila Simba awajui Yanga wanataka kufanya nini na hii ndio imekua njia ambayo Yanga imekua iki idhibiti Simba kwa Sasa.
Msikie huyu mtopolo
 
Simba haijawahi kuwa tishio kwa Yanga, Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu yoyote apa Tanzania. Simba ndio timu dhaifu kwa miaka mingi katika timu ambazo zimejaribu kuleta upinzani na Yanga.
Simba ndio timu yenye mchecheto zaidi na ndio iliyoweka rekodi ya kung'oa viti baadaya kufungwa na Yanga.
 
Simba haijawahi kuwa tishio kwa Yanga, Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu yoyote apa Tanzania. Simba ndio timu dhaifu kwa miaka mingi katika timu ambazo zimejaribu kuleta upinzani na Yanga.
Simba ndio timu yenye mchecheto zaidi na ndio iliyoweka rekodi ya kung'oa viti baadaya kufungwa na Yanga.
Na ndo iliyoweka rekodi ya kukutungua 5_bila
 
Back
Top Bottom