Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Umeumbuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"hatujeji hatujeji"..kwa sauti ya mzee mpili wa pale utopoloni.
Simba punguzeni vitisho,watagoma kweli
Bora waingie mitini tu, hizo tano zikiingia watafukuza mpaka mpishi wa klabu.
Ni heri lawama kuliko fedheha!! Uto hatapeleka timu uwanjani!
Lawama ya kutokupeleka timu uwanjani inahimilika kuliko fedheha ya kupigwa mkono au wiki!! Ila ikitokea hivyo mwisho wa siku mambo yatafika FIFA!! Yakifika huko Tanzania haitabaki salama!!
Maana taarifa rasmi ya TFF ni kuwa serikali ndiyo iliyoagiza mechi isogezwe mbele!! Na FIFA hawataki serikali kuingilia mpira wa miguu. Ikithibitika serikali imeingilia TZ inafungiwa!!! Nguvu na jeuri ya uto iko hapo!!
Bao moja tu la Yanga likawapa mimba ninyi MikiaKeshokutwa wananchi wana kikao cha wanachama. Kwa vitisho hivi ni wazi watakubaliana kutoingiza timu kuliko kupata kichapo cha paka mwizi.
masikini akipata matako hulia mbwataBao moja tu la Yanga likawapa mimba ninyi Mikia
Maneno meeengi kama Mwajuma wa Tandale kumbe hamna kitu, mmef
unzwa kuongea na Mume wenu yule Zeruzeru
Hahahaha........!
Mikia ni mikia tu.
Dah....Hayati Rais Mstaafu 'Genius' Benjamin William Mkapa aliwahi kusema kuwa Siku zote Kupanga ni Kuchagua.
Mna Maamuzi mawili tu ya ama msipeleke Timu katika 'Derby' ya tarehe 3 July, 2021 ili Kanuni zifuatwe na Simba SC apewe alama (points) 3 na Goli 3 atangazwe 'Bingwa' rasmi.
Au muamue kupeleka Timu ila mjue kuwa mnaenda kukutana na dhahama ya Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC Kisha 'Ubingwa' unatangaziwa Kwenu na 'Kipigo' mlichokipata.
Ninasisitiza tena Kupanga ni Kuchagua.
Kweli mume wao zeruzeru.Bao moja tu la Yanga likawapa mimba ninyi Mikia
Maneno meeengi kama Mwajuma wa Tandale kumbe hamna kitu, mmef
unzwa kuongea na Mume wenu yule Zeruzeru
Hahahaha........!
Mikia ni mikia tu.
Wewe umepatwa na kimoko cha nguruwe.masikini akipata matako hulia mbwata
Mimba inawasumbua Mikiamasikini akipata matako hulia mbwata