Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kiazi hiyo mechi ambayo mashabiki walin'goa viti Simba haikufungwaSimba haijawahi kuwa tishio kwa Yanga, Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu yoyote apa Tanzania. Simba ndio timu dhaifu kwa miaka mingi katika timu ambazo zimejaribu kuleta upinzani na Yanga.
Simba ndio timu yenye mchecheto zaidi na ndio iliyoweka rekodi ya kung'oa viti baadaya kufungwa na Yanga.
Utakuwa na makamasi ndani ya hilo fuvu lako la kichwa badala ya ubongoSimba haijawahi kuwa tishio kwa Yanga, Simba ndio timu iliyofungwa na Yanga maranyingi zaidi kuliko timu yoyote apa Tanzania. Simba ndio timu dhaifu kwa miaka mingi katika timu ambazo zimejaribu kuleta upinzani na Yanga.
Simba ndio timu yenye mchecheto zaidi na ndio iliyoweka rekodi ya kung'oa viti baadaya kufungwa na Yanga.
Aidha kuung'oa au kuudidimiza kabisa ndani usionekane.Sasa mtakuja au hamji?
safari hii huo mwiko mliouweka huko nyuma tutautoa kwa nguvu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao Yanga wanaongoza Ligi? Au kukimbia MechiSimba wamepoteana awajui Yanga wanataka kufanya nini na hivi ndivyo Yanga walivyo wazuri ki mkakati. Kwasasa Yanga wanajua kila kinacho endelea ndani ya Simba Ila Simba awajui Yanga wanataka kufanya nini na hii ndio imekua njia ambayo Yanga imekua iki idhibiti Simba kwa Sasa.
Ni hiiSimba mnayoizungumzia ni ile iliyopigwa miguu ya sturi kule sauz? Au ile iliyofungwa na Prisons pamoja na Ruvu shooting?
Hili ndio kombe lenuSasa mlitaka mfungwe mng'oe na uwanja!!
YametimiiiiaaaSimba itafanyiwa surprise ya mwaka. Narudia tena ni surprise. Surprise ya namna gani? Kaa tayari kushuhudia
Hatimaye Simba wamepatiwa point 3Hayati Rais Mstaafu 'Genius' Benjamin William Mkapa aliwahi kusema kuwa Siku zote Kupanga ni Kuchagua.
Mna Maamuzi mawili tu ya ama msipeleke Timu katika 'Derby' ya tarehe 3 July, 2021 ili Kanuni zifuatwe na Simba SC apewe alama (points) 3 na Goli 3 atangazwe 'Bingwa' rasmi.
Au muamue kupeleka Timu ila mjue kuwa mnaenda kukutana na dhahama ya Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC Kisha 'Ubingwa' unatangaziwa Kwenu na 'Kipigo' mlichokipata.
Ninasisitiza tena Kupanga ni Kuchagua.
Pyeeee.....!Wachague wenyewe wanataka kubakwa wamevua kabisa au wavuliwe kilazima kwa purukushani. Yanga tambua purukushani inaweza kuchana nguo za ndani
Hayati Rais Mstaafu 'Genius' Benjamin William Mkapa aliwahi kusema kuwa Siku zote Kupanga ni Kuchagua.
Mna Maamuzi mawili tu ya ama msipeleke Timu katika 'Derby' ya tarehe 3 July, 2021 ili Kanuni zifuatwe na Simba SC apewe alama (points) 3 na Goli 3 atangazwe 'Bingwa' rasmi.
Au muamue kupeleka Timu ila mjue kuwa mnaenda kukutana na dhahama ya Kufungwa Goli 5 kwa 0 na Simba SC Kisha 'Ubingwa' unatangaziwa Kwenu na 'Kipigo' mlichokipata.
Ninasisitiza tena Kupanga ni Kuchagua.