Msipopeleka Timu tarehe 3 Simba SC inapewa 'points' 3 na kuwa Bingwa na mkipeleka Timu 'mnakufa' 5 kwa 0 Kazi Kwenu

𝐲𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐢𝐧𝐚 𝐯𝐢𝐨𝐧𝐠𝐨𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐣𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐣𝐚𝐧𝐣𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
We kiazi hiyo mechi ambayo mashabiki walin'goa viti Simba haikufungwa
 
Umeishaambiwa hiyo mechi imeishapita, mfungeni Azam tukutane FA baas
 
Utakuwa na makamasi ndani ya hilo fuvu lako la kichwa badala ya ubongo
 
Hivi wataalam wetu wa TFF, wametoa sababu gani iliyopelekea ule mkanganyiko na mechi kutochezwa?

please mwenye taarifa.
 
Hao Yanga wanaongoza Ligi? Au kukimbia Mechi
 
Hatimaye Simba wamepatiwa point 3
 

Ilianzia hapa!
 

Attachments

  • VID-20210703-WA0067.mp4
    4.4 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…