Msipopeleka Timu tarehe 3 Simba SC inapewa 'points' 3 na kuwa Bingwa na mkipeleka Timu 'mnakufa' 5 kwa 0 Kazi Kwenu

"hatujeji hatujeji"..kwa sauti ya mzee mpili wa pale utopoloni.
Simba punguzeni vitisho,watagoma kweli
Bora waingie mitini tu, hizo tano zikiingia watafukuza mpaka mpishi wa klabu.
Keshokutwa wananchi wana kikao cha wanachama. Kwa vitisho hivi ni wazi watakubaliana kutoingiza timu kuliko kupata kichapo cha paka mwizi.
Bao moja tu la Yanga likawapa mimba ninyi Mikia

Maneno meeengi kama Mwajuma wa Tandale kumbe hamna kitu, mmef
unzwa kuongea na Mume wenu yule Zeruzeru

Hahahaha........!

Mikia ni mikia tu.
 
Bao moja tu la Yanga likawapa mimba ninyi Mikia

Maneno meeengi kama Mwajuma wa Tandale kumbe hamna kitu, mmef
unzwa kuongea na Mume wenu yule Zeruzeru

Hahahaha........!

Mikia ni mikia tu.
masikini akipata matako hulia mbwata
 
Dah....
 
Tatizo la Simba siku zote ni kucheza mpira nje ya uwanja! Wakiingia uwanjani hugeuka na kuwa mlenda ndani ya dk 90!

Mbaya kuliko zote, ni kushikiliwa akili na yule mwehu wao Haji Manara!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…