Ha ha ha haaah,,,,,,,,kumbe ndio maana mnawapenda.
kwa wanaume tu au mpaka wanawake?
vijana wapiga mizinga sana.
Wazee waacheni tu wanajua nini thamani ya mwanamke, waache vijana waendelee kulialia tu.
nami nitafanya uharibifu nikiingia uzeeni....Sanaaaaaa!!!
Wazee wanajua ku care vijana wao kila siku mikakati kama serikali ya tz.
Wazee twawapenda atii,kabao kamoja mzee hoi anaangukia pembeni ka bata na mshiko anatoa wa maana!sijaandika mm,ni hili dole gumba lina kiherehere lol!
Wanaume,, sie wanawake future zetu hubadilika kama upepo
Wanaume,, sie wanawake future zetu hubadilika kama upepo
Nimepanda lift kwenye moja ya jengo maarufu na refu hapa mjinikati karibu na Ohio st. Niko ndani ya lift mzee mmoja smart anongea na simu kwa sauti ya maringo , upole na yenye kujiamini, kulikua kimya hivyo unasikia kabisa upande wa pili ni sauti ya kasichana mazungumzo yalikua hivi.
Mzee - What do you mean..I've told you before not to worry it is within my capability usichukue gari ya chini, chagua landcruiser au yoyote ya juu.
Mdada.- '............. .... ....... ..... ........ ........ .... ............
Mzee. - Ok no problem, njoo sasa hivi uchukue cheque kwa ajili ya kuwalipa NSSF niliongea na mkurugenzi wake akanipromse a nice location for your appartment.
Anyway we njoo ukifika go to reception I have already reserve a place, just wait me in the room nina kikao na waziri nikimaliza nakuja.
Niliwai kufika nikatoka liftini nikamuacha bado anaongea.
Kwa kweli niliona hamna sababu ya kuwasema wadada wanaotembea na wazee this dudes knows how to care jamani.
Wazee waacheni tu wanajua nini thamani ya mwanamke, waache vijana waendelee kulialia tu.
Hahahaaaa.... Umeongea kwa msisitizo sana, red color and bold!
Ukorrebhuya.....
And all the piece of mind on earth doesnt put food on the table does it? Peace of mind unajambishwa kodi ya watu si utakunyaaaaa? Easier said than done!
Mbaya ukiwa binti halafu sura kama matonya
Wazee waacheni tu wanajua nini thamani ya mwanamke, waache vijana waendelee kulialia tu.