na we unalelewa na mzee..............
Sentensi imejitosheleza hakukuwa na haja ya swali.
Kama ni kweli kwann wasilee wake zao wanalea nyie mahawara?
Wacha uchonozi...
Mi sijakuchokoza ....
Unataka nivujishe siri ili iweje
Nikupate kirahisi....
Mbona ulishanipata...huhitaji kutumia nguvu kiasi hicho
Wow...nilikiwa sijaamini u.know
Wewe Tomaso eeh?
key point...
MONEY POWER and WEALTH.
hakuna cha zaidi hapo!
DAR ES SALAAM HII HII UPENDWE TU FROM NOWHERE?
mazungumzo yoote from A to Z ni costing tu zinazungumzwa, tena zimelalia upande mmoja tu wa mzee!
nipogo mkuu! kwema lakini?
hahaaa!! mkuu msituni tena? nilikuwepo mkuu wangu, maisha ya kitabu bhana, sometimes inabidi ukae utulie ulinde heshima.kwema tu.. ulienda msituni nini? nilikua sikusomi pande hizi kitambo
Kwa hiyo vijana tunaokwenda tripu nne na mshiko hakuna ndio imekula kwetu?