Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

akaa nyie nunuliweni magari kwa amani mi sitaki kabsaa kuna mdada jirani alikufa hivihivi kizee kimempa kila kitu siku kikamwambia waonane hotelini.. ilipofika mida yetu sasa mzee keshalock mlango na bastola yake pembeni as you know arusha dada kavua nguo fresh mzee kuvua sasa.. lol mwili mzima kaoza anatoa wadudu na alivaa suti kalii huwezi mjua asee mdada kutaka kukimbia no way out.... akarud kwake na kumwadithia mumewe na kutoa ushuhuda kanisani mmewe alimsamehe tukamwesabia siku basi....
 
Kama ni kweli kwann wasilee wake zao wanalea nyie mahawara?

nina dada yangu ameolewa na ana watoto ana kizee chake kimoja hivi ni bosi wa machimbo merelani arusha kizee kina familia yake kubwa tu kimemsomesha chuo miaka 3 na mwaka huu anamaliza anahudumiwa kila kitu asee kushika mamilioni kwake ni kawaida tu anaeza enda town na laki 4 akirudi hana hata sent cha maana alichofanyia hakionekani kesho anapewa tena na walianza zamani tu tour za nje kwake kawaida sanaaa duh!!
 
And the author refers those words in red as 'caring'! So, to a woman caring is all about money!!
key point...

MONEY POWER and WEALTH.

hakuna cha zaidi hapo!

DAR ES SALAAM HII HII UPENDWE TU FROM NOWHERE?

mazungumzo yoote from A to Z ni costing tu zinazungumzwa, tena zimelalia upande mmoja tu wa mzee!
 
kumbuka mkono mtupu haulambwi. hao wanaogegedana na wazee hawafanyi hivyo kwa kuwa wanawapenda hao bali ni kwa kuwa wanapenda mapene yao.
 
kwema tu.. ulienda msituni nini? nilikua sikusomi pande hizi kitambo
hahaaa!! mkuu msituni tena? nilikuwepo mkuu wangu, maisha ya kitabu bhana, sometimes inabidi ukae utulie ulinde heshima.

tuko pamoja kaka wala usijali.
 
Back
Top Bottom