Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
akaa nyie nunuliweni magari kwa amani mi sitaki kabsaa kuna mdada jirani alikufa hivihivi kizee kimempa kila kitu siku kikamwambia waonane hotelini.. ilipofika mida yetu sasa mzee keshalock mlango na bastola yake pembeni as you know arusha dada kavua nguo fresh mzee kuvua sasa.. lol mwili mzima kaoza anatoa wadudu na alivaa suti kalii huwezi mjua asee mdada kutaka kukimbia no way out.... akarud kwake na kumwadithia mumewe na kutoa ushuhuda kanisani mmewe alimsamehe tukamwesabia siku basi....