Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

Sukuma Gang mnalo mwaka huu,tutamsema mpaka huo mzoga ugeuke huko kaburini

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Waliubeba mzoga nchi nzima wakifiri utafufuka sijui ni nani aliwadanganya kwamba wafanye hivyo kweli himaya ya Magufuli imetufundisha mengi Watanzania kama hamjaelewa ufedhuli ni nini basi mtakuwa watu wa ajabu sana na mnahitaji maombi mkombolewe kutoka kwenye fikra za kutawaliwa na mnyapara wa chato
 
I hereby declare my interest, mimi ni muumini wa damu kabisa wa Magufulification of Tanzania.

JPM was a kind of President tulomuhitaji kwa miaka mingi, he was a man of his words, a Man who made things happen.

Lets speak the truth, Tanzania's current economic shambles, Social, Cultural and political calamities are largely due to leadership failure by past governments.

Nani asiyejua kuwa mtangulizi wake ndio aliyevuta Mpunga na mikataba ambayo leo hii imetuletea ushoga?

Nani asiyejua Ufisadi mkubwa mkubwa wakutisha uliofanywa na huyu mtangulizi wake?

Kuna ipindi kilichokuwa na Ufisadi, wizi, umasikini mkubwa, Wapinzani mpaka Viongozi wa Dini kula Rushwa waziwazi kama ilivyokua kwa Uongozi wa mtangulizi wake?

Nani asiyejua JPM alikuja kuwa Mkombozi aliyekinusuru Chama Cha Mapinduzi na kukifichia aibu machoni mwa Watanzania?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi iloharibika kwelikweli, huku hazina kukiwa hamna kila kitu?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo Watumishi wa Umma, hawakuwa na tena na maadili, nidhamu, na walijawa dharau?

Nani asiyejua kuwa JPM alirithi Nchi ambayo haikuwa na strategical projects yoyote?

Nani asiyejua JPM alirithi nchi ambayo ilijawa Rushwa, Masikini akazidi kuwa Masikini, huku wachache wakuendelea kujikimbikizia Mali na watoto wao?

Late President JPM should not be demonized and we as Tanzanians na vile mnatuita (Sukuma Gang) we shall stand by to condemn any humiliation and any bad mouthing directed against our Late beloved Magufuli.

Watanzania ni lazima tusimame nyuma ya Misingi aliyoiacha Hayati JPM kuhakikisha kwamba Serikali hii iliyorithi mikoba yake inatafuta appropriate solutions to the country's problems na Serikali inawajibika kama ilivyokuwa kwa JPM. JPM alitatua tatizo hapohapo, yaliyohitaji muda aliyapa muda.

JPM akisema, naondoka ila nitarudi Mwezi wa Saba, nikija nikute pamekamilika, na kweli Mwezi wa Saba alirudi, na ole wako akute maneno na sio kazi iliyokwisha, utamjua!

Leo Nchi imerudi hatua za miaka kumi nyuma, mtu anaboronga anahamishwa, watu wanakula pesa tu za nchi, nchi haina hata bei elekezi. Sasa hizi watuingizia Michele na vyakula vya GMO, havipimwi wala nini!

Taasisi nyingi zimelala, watu wamelala, wakiamka ni kupiga hela, kila mahali ni vilio, Viongozi vilio, Wananchi vilio, hivi hii Nchi ya wapi? Tunaenda wapi kama Nchi?

Tanzania Must move forward and this requires all people in this country to support the Legacy left by Late JPM.

Mtu anapofurahia kifo cha JPM, Baba aliyojitoa maisha yake, Baba aliyeamua kutufanya tuamini na sisi Watanzania tunaweza is just unpatriotic, disingenuous and intellectually dishonest.

Kiongozi wa Nchi unajinadi eti "Hata mimi sipendi kutengua, kumtengua mtu ni fedheha!" Kweli? Unamwambia nani?

Unatafuta kupendwa? Ndio imefikia hatua unawaruhusu wale kwa kamba zao? Hatima yake kila kukicha wanagombaniana kupiga hela za Wananchi, Miradi inasimama, akionekana mmoja hapendi Rushwa, mnamuwashia moto, mara vile, mara hivi, kama Taifa tunaenda wapi?

I want you (Msoga and the Fake opposition leaders) to know that, the lies and malicious propaganda peddled against our Late Beloved President JPM will not work anywhere in the country, will not work anywhere and this is simply because Tanzanians knows their real enemy!

Magufulinists
believes in peace, development and well being of Tanzania na hivyo mashetani wote mnaofanya Siasa za Kumchafua Hayati JPM na kuwagawa Watanzania on the basis of tribal and regional politics, muache mara moja.

Muwe na aibu hata kidogo, mtalaaniwa na vizaazi vyenu, mambo makubwa alitufanyia huyu Mjoli wa Mungu JPM kwa miaka yake mitano tulipaswa hata tumjengee sanamu. Kwa kuhesabu mazuri makubwa aloyafanya, siwezi kuyamaliza.

Maajabu sasa kila kukicha mnapamba na kufuta popote ambapo kuna chembechembe za Magufuli.

Na nyie Vyombo vya Dola, nyote ni mashahidi na wenye macho kwa mchango wa miaka mitano ya JPM katika nchi hii, inakuaje mnachekacheka na hawa wahuni? Wahuni ambao mashariti ya zile 4R zao, ni kumchafua JPM na kumsifia aliyopo? Kwanini mnaacha haya?

Ndugu zangu Watanzania fahamuni, hatuna wapinzani, tuna kikundi cha wahuni ambao wanapambania;
  • Matumbo yao.
  • Pesa za Wazungu.
  • Ushoga ili taifa lilaaniwe, na huu ushoga unaongoza kupambaniwa na wapinzani huku ukifungiwa macho na uongozi uliopo.
Rai yangu

Watanzania msikae kimya, amkeni. Pingeni huku mkimwomba Mungu aingilie kati. Najua uongozi wa sasa umeamua kututoa kwa Mungu, kwa sasa hamna yale maombi makubwa ya kitaifa aliyoanzisha JPM, najua ni makusudi tu wanafanya, ila ni Mungu ndio alitupitisha kwenye Covid-19, Mungu alitupunguzia ajali, Mungu alituepushia Uchumi kushuka, Mungu aliyetupa JPM aliyetuhimiza tufanye kazi kwa bidii.

Na hivyo basi sisi kama wananchi tusiache kumwambia Mungu afanye jambo. Tuombe Vyombo vya Dola Mungu avipe weledi ili badala ya kuendelea kusimamia na kikundi wasimamie masualamapana yenye maslahi ya nchi.

Wanaojaribu kumuua JPM hawatafanikiwa. Wanatashindana naye, lakini hawatashinda. Nadhani unakubaliana nami.
 
Hujui lolote kibaka wewe. We weka bando uendelee kupiga kelele humu. Muda ukifika mumeo hata ubelgiji ataona hapafai, atataka akimbilie kuzimu kabisa
Akimbilie wapi wakati mwenyekiti wenu kasalimu amri kwa upinzani. She's too weak to fight against the opposition she had to opt for a "handshake".

The biggest losers come 2025 are sukuma gang whilst Mbowe, Lissu, and the entire Chadema fraternity will be laughing all the way to the statehouse.

FpvWBRxWAAIpBiM.jpeg
 
Wanaojaribu kumuua JPM hawatafanikiwa. Wanatashindana naye, lakini hawatashinda. Nadhani unakubaliana nami.
Hawatashinda kivipi wakati ameshaoza? Hiyo 2025 ni Samia vs Chadema so upende usipende Rais wako atakua anti JPM. Kama mnajiamini muanzishe chama msote rumande na virungu juu akili ziwakae sawa.
 
The biggest losers come 2025 are sukuma gang, Mbowe, Lissu, and the entire Chadema fraternity will be laughing all the way to the statehouse.

Rais wako atakua anti JPM. Kama mnajiamini muanzishe chama msote rumande na virungu juu akili ziwakae sawa.
Tukisema mmejaa visasi, mnaumuka.

Kumbe CHADEMA inataka kushika Dola ili ijeiwasoteshe watu rumande! Kisa? Vurugu

Ni vizuri huwa mnatubu mliyoyafanya....mlisota kweli na sasa mna lilia lia na kuwatukana Wananchi kwasababu mlisota wenyewe.
 
Tukisema mmejaa visasi, mnaumuka.

Kumbe CHADEMA inataka kushika Dola ili ijeiwasoteshe watu rumande! Kisa? Vurugu

Ni vizuri huwa mnatubu mliyoyafanya....mlisota kweli na sasa mna lilia lia na kuwatukana Wananchi kwasababu mlisota wenyewe.
Kuanzisha chama I mean between now and 2025 na Rais anafahamika ni WA chama gani. Na nmesema hayo maana Samia ni Anti na JPM and so is Chadema so kama hamtaki hivyo vyama viwili aanzishe Cha kwake sio alalamike why wote tunamshambulia JPM.

Btw Chadema tupo wazi kabisa hata Lowassa alisema angeshinda baraza la mawaziri lingekua split kwa CCM na Chadema.

Kama tungekua na visasi unadhani Lissu angekutana na Samia Belgium? Au Mbowe angeenda ikulu baada ya kutoka jela? Au Lema angemtetea Sabaya atolewe jela licha ya yote aliyomfanyia?
 
Hawatashinda kivipi wakati ameshaoza? Hiyo 2025 ni Samia vs Chadema so upende usipende Rais wako atakua anti JPM. Kama mnajiamini muanzishe chama msote rumande na virungu juu akili ziwakae sawa.

Bado anaishi, ndiyo maana vita dhidi yake haitawahi kuisha.
 
Kuanzisha chama I mean between now and 2025 na Rais anafahamika ni WA chama gani. Na nmesema hayo maana Samia ni Anti na JPM and so is Chadema so kama hamtaki hivyo vyama viwili aanzishe Cha kwake sio alalamike why wote tunamshambulia JPM.
Naweza kutofautina na mtazamao wako hali kwamba zina ufanani. SSH, hana jinsi, inabidi awe hivyo! Ndio unaona yeye hawezi kuwa anapayuka Anti what have you! akijuwa itamkosti Hayo amewaachia CHADEMA, they have nothing to loose, wachambuzi wanadai CHADEMA ndiye wenye mfupa mgumu. Watafune, na wakimaliza ndooo 👇 a reward!
Btw Chadema tupo wazi kabisa hata Lowassa alisema angeshinda baraza la mawaziri lingekua split kwa CCM na Chadema.
Na ndio kitaja tokea, baada ya maridhiano. Hakuna mda wa kuanza mchakato wa Katiba mpya between now and then! Wanajua hilo, seeema wanapiga porojo na hadaa kubwa. Ukiniuliza hatma ya maridhiano hayo nakwambia wazi....kumegeana dola. CCM anabaki mshindi.
Kama tungekua na visasi unadhani Lissu angekutana na Samia Belgium? Au Mbowe angeenda ikulu baada ya kutoka jela? Au Lema angemtetea Sabaya atolewe jela licha ya yote aliyomfanyia?
Hayo ni rahisi kunga'amua.
Nikuulize ni Raisi gani katika Dunia ya Siasa ambaye alishatoka nchini mwake kwenda kumjulia hali mgonjwa nga'mbo? Be honest....yaani Raisi aache majukumu yake apange Safari kwenda nje kumuona mgonjwa? Mnajaribu kutumia kila aina ya upindishaji kuonyesha ukatili, ambao kiuhalisia. Haukuwepo.

Mbowe kwenda Ikulu was Just a Political ploy,Just another picture op. Na imejenga taswira ya 'Kuna maridhiano' mchezo ule Ulipangwa, kama sio Kishinikizo cha......"amefungua nchi"

Lema ndio usiseme. Ameapa kuja kumwaga sumu, na ameshafanya hivyo,a true Proselyte! Na yeye ana hadaa kama hizo ulizoziweka....kutembelewa hospitali, kwenda ikulu, na sasa anadai anataka kwenda kumuona Sabaya. Ati wana Roho safi! subutu.
 
Hakuna sababu yeyote ile, hakuna mantiki yeyote ile, zaidi ya visasi binafsi vya kumdemonize Hayati Raisi. Zaidi ya hapo, ni kumezeshwa siasa za mabepari wa kikaburu ambao kiuhalisia ndio walioporomoka Kiuchumi. Visasi vyao ndivyo navyo wamebebeshwa CHADEMA as a get out of jail condition!

Najua wanaumia rohoni, ila hawana jinsi. A price to pay for freedom and 'Baraka'.
 
Hayati JPM aliipenda Tanzania na Watanzania kwa dhati na kutoka moyoni.
Itatuchukua muda kumpata kiongozi kama yeye. Uzuri watu wanajua kama unawapenda au huwapendi. Hili wala hata halihitaji maneno mengi. Upendo huoneshwa kwa vitendo na wala si kwa maneno tu.

Kuipenda nchi tu haitoshi. Kuna dynamics lazima uziweke ku contain hilo. Hapo ndio alipoteleza
 
Naweza kutofautina na mtazamao wako hali kwamba zina ufanani. SSH, hana jinsi, inabidi awe hivyo! Ndio unaona yeye hawezi kuwa anapayuka Anti what have you! akijuwa itamkosti Hayo amewaachia CHADEMA, they have nothing to loose, wachambuzi wanadai CHADEMA ndiye wenye mfupa mgumu. Watafune, na wakimaliza ndooo 👇 a reward!
Siyo kweli, Chadema wamemkosoa JPM tokea akiwa hai why sahivi mpaka "watumwe" na SSH?!
 
honest....yaani Raisi aache majukumu yake apange Safari kwenda nje kumuona mgonjwa?
Mbona SSH akiwa Vp alipokua kwenye vikao vizito Nairobi alitoroka kwenda kumuona Lissu hospitalini? So Did Mwinyi na uzee ule ila alipanda ndege kumjulia hali Lissu. So kama hujazoea huo moyo (Obviously coz JPM hakuna na ubinadamu) ndio mjifunze Sasa kwamba wapo watu wanaona utu ni mkuu kuliko Urais (SSH na Mwinyi).
 
Mbowe kwenda Ikulu was Just a Political ploy,Just another picture op. Na imejenga taswira ya 'Kuna maridhiano' mchezo ule Ulipangwa, kama sio Kishinikizo cha......"amefungua nchi"
Hivi unamuona Mbowe bwege bwege tu? Kwamba anachezewa akili na yeye amekaa tu kama sanamu? Ni hivi Chadema tunataka katiba mpya na tume huru if that means kuweka maridhiano na CCM be it maana katiba mpya ikipatikana hata akija Rais dikteta tutamdhibiti.
 
akina sisi tunaelewa kabisa, akina wale wanaelewa sana ila watazuga kwa ukakasi adi mwisho wa maisha yao.
 
Kwanini hawamkosoi samia sahizi? Au kila kitu kiko shwari nchini?
Anakosolewa sana unless hufuatilii mikutano. Juzi tu karatu Msigwa kasema hakuna Maji miaka 60 ya uhuru sababu ya uongozi mbovu wa nchi.

Sosopi naye kafanya mkutano Kilosa kamkaanga Samia kwa bei za bidhaa.

Same to Heche kaongelea miaka 60 ya uhuru licha ya madini wanafunzi hawana madawati.

Tofauti ni kwamba anakosolewa ila hatuna ugomvi naye ni hoja vs hoja sio chuki au vurumai isiyokua na sababu.
 
Anakosolewa sana unless hufuatilii mikutano. Juzi tu karatu Msigwa kasema hakuna Maji miaka 60 ya uhuru sababu ya uongozi mbovu wa nchi.

Sosopi naye kafanya mkutano Kilosa kamkaanga Samia kwa bei za bidhaa.

Same to Heche kaongelea miaka 60 ya uhuru licha ya madini wanafunzi hawana madawati.

Tofauti ni kwamba anakosolewa ila hatuna ugomvi naye ni hoja vs hoja sio chuki au vurumai isiyokua na sababu.
Anakosolewa wapi wewe mnataka mumfanye nani mjinga. Vitu nyeti kibao vya kipuuzi katika serikali hii ya mpito ila mnaojiita upinzani mko kimyaa kama hamuishi nchi hii. Matokeo yake mnawatukana bodaboda na machinga. Rais wa mpito kakanyaga katiba kufuta kesi pasi na maamuzi ya mahakama mko kimyaaa. Angekua magufuli hapo mngepiga kelele mpaka mate yawakauke
 
Back
Top Bottom