Msomi Nguli wa Sheria Prof. Palamagamba anaenda kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo? Atakataa!

Msomi Nguli wa Sheria Prof. Palamagamba anaenda kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo? Atakataa!

Muda wa kupumzika, kufuga kuku na kulinda heshima yake sasa, sio lazima awepo kwenye kila cabinet.
 
huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria. aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.

ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima. lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?????????????????????????????????????????????????????
hapana bado atafanya vizur.kwanza prof anaipenda historia na malikale.bahat mbaya tu atakuta kuna confusion ya utamaduni na heritage per se. ila kwa kuwa wakil msom still anafaa hapo kwanza kuihabarisha jamii juu ya vitu mbalimbal na uhalali wake kisheria. pamepata mwenyewe hapo. by the way kwan yeye ndio mtendaj mkuu.?
 
sasa si amuondoshe tu kuna mamlaka ukifika hakuna tena aibu, penye kuondosha unaondosha tu
Very very true. Kiongozi ni myu ambaye anafanya maamuzi magumu...ata ikibidi kuua mtu kwa manufaa ya wengi
 
Masayuni alistahili kwenda kulima karafuu huko visiwani.
1733671181388.jpeg
 
huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.

Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.

Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?
Uwenda akawa kwa Muda,kuwanoa walio kuwepo.Aysee CCM inamipango kabambe sana...
 
huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.

Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.

Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?

Token jalalani halafu halafu ukatae Uwaziri. Maybe it's not Tanzania tuijuayo.
 
huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.

Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.

Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?
Moja ya Wizara za hovyo.
 
Ukishakiwa mtu wa jalalani na kutolewa huko popote tu unaenda
 
Tena mzee wetu apewe na viboko, wakizingua kina Chino wanaman ni kuwatembezea bakora
 
Tanzania kila kitu kinawezekana hata Kingwendu anaweza kuwa rais.

Unafikiri kuna nchi inayojielewa Samia angewahi kuwa hata makamu wa rais achilia mbali urais wenyewe?
 
Huyu mtu atafanya nini cha maana kwenye wizara kama hiyo! Hii nchi yote kweli haina mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi kwenye wizara kama hiyo?
 
Hii inanikumbusha Prof. Sarungi naye mtaalamu wa mifupa alishawahi teuliwa nafasi hiyo hiyo.
Lakini Sarungi alifiti sana kwenye nafasi hiyo. Kwanza utaalamu wake wa mifupa ilidhaniwa itasaidia kwenye michezo. Pili, Sarungi kwa tabia zake zile za kusema sema sana, kwenye mambo ya michezo na sanaa inakubalika sana. Tatu, Sarungi alikuwa ni Shabiki mkubwa wa Simba; kwa hiyo michezo halikuwa jambo geni kwake.
Sasa huyu Kabuti; Michezo, Sanaa, Utamaduni...; wapi na wapi?
 
Mimi naona ni sahihi tu aende akapambane na hali yake. Maana huo usomi wake nguli sidhani kama una tija kwa nchi.

Nilitegemea akiwa kama Msomi nguli, kuhakikisha nchi inakuwa na sheria na Katiba yenye kulinda maslahi na wananchi walio wengi! Badala ya watawala.
Nakubaliana nawe, lakini hebu kwanza angalia ujuha unao fanyika: pamoja na kuwa na uzoefu wa kushika nyadhifa za uwaziri kwa muda mrefu, na kuwa mtaalam wa mambo ya sheria; katika muda huo mfupi wateuzi wake kweli wameweza kufanya tathmini ya mambo aliyo weza kufanya na aliyo shindwa kuyafanya na kuamua kuwa hafai kwenye nafasi hiyo?
Hawa watu wana teuliwa, hata kabla hawajatulia kwenye nafasi mpya walizo teuliwa, hapo hapo wana tibuliwa na kupelekwa eneo jingine wakaanze upya!
Nani hufanya kazi namna hii halafu upate mafanikio.

Jambo la kujiuliza ni kama wateuliwa hawa hupewa na kuelezwa malengo wanayo takiwa kuyafikia katika muda maalum wa kazi zao (Performance Indicators). Je, huyu Kabuti kashindwa kufikia malengo aliyo pangiwa katika muda mfupi huo, au kuteuliwa ni basi tu kujaza nafasi wizarani?
 
Kabudi kutoka kuzungukwa na kuongea na watu wa maana kama mabalozi sasa anazungukwa na akina shishi na steve.................................... na chino man.😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom