Binafsi natamani sana wale jamaa wa Barrick alio kuwa akijadili nao maswala ya miradi yao wange kuwa wana fuatilia jamaa anavyo tumikia nchi yake kwa heshima kubwa!
Naikumbuka ile picha, alipo kwenda kuwapokea uwanja wa ndege hao jamaa. Kimuonekano, ilipendeza sana kumwona mzalendo wetu kwenye picha ile, akijiandaa kuipigania nchi yake. Na sina shaka, kimwonekano hata wao waliona kuwa Tanzania kuna watu wa kujadili nao jambo. Sasa sijui huko kwenye majadiliano yenyewe ilikuwaje; lakini yeye mwenyewe (Kabuti), alisema alitukanwa na mkuu wake wa kazi kuwa ni "Mpumbavu"; pamoja na kuwa na umri mkubwa kuzidi huyo Boss.
Naikumbuka ile picha, alipo kwenda kuwapokea uwanja wa ndege hao jamaa. Kimuonekano, ilipendeza sana kumwona mzalendo wetu kwenye picha ile, akijiandaa kuipigania nchi yake. Na sina shaka, kimwonekano hata wao waliona kuwa Tanzania kuna watu wa kujadili nao jambo. Sasa sijui huko kwenye majadiliano yenyewe ilikuwaje; lakini yeye mwenyewe (Kabuti), alisema alitukanwa na mkuu wake wa kazi kuwa ni "Mpumbavu"; pamoja na kuwa na umri mkubwa kuzidi huyo Boss.