basi kweli alikuwa mpumbavu................. huyu naye anamtukana kiainaBinafsi natamani sana wale jamaa wa Barrick alio kuwa akijadili nao maswala ya miradi yao wange kuwa wana fuatilia jamaa anavyo tumikia nchi yake kwa heshima kubwa!
Naikumbuka ile picha, alipo kwenda kuwapokea uwanja wa ndege hao jamaa. Kimuonekano, ilipendeza sana kumwona mzalendo wetu kwenye picha ile, akijiandaa kuipigania nchi yake. Na sina shaka, kimwonekano hata wao waliona kuwa Tanzania kuna watu wa kujadili nao jambo. Sasa sijui huko kwenye majadiliano yenyewe ilikuwaje; lakini yeye mwenyewe (Kabuti), alisema alitukanwa na mkuu wake wa kazi kuwa ni "Mpumbavu"; pamoja na kuwa na umri mkubwa kuzidi huyo Boss.
Yule aloyeshindwa na wazungu wa makanikia ndo msomi nguli et! Akawa anatunganya tu eti kila mtu atapata noah huku akijua kwamba ni uongo.huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.
Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.
Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?
Wizara za kina Nape, Mwana Fa na Babu Talehuyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.
Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.
Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?
Una mfano wa mtu yeyote aliyeteuliwa kwa nafasi fulani akaona haimfai akakataa? Kwenye Awamu ya Kwanza ya Rais Donald Trump alimteua Neurosurgeonist (Daktari Bingwa wa mambo ya neurons) Dk. Ben Carson kuwa Waziri wa Makazi na hakuktaa. Wewe hao waliokataa ni akina nani?huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.
Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.
Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?
Na ndiyo maana wananchi walipiga kelele Rais apunguziwe madaraka, yakiwemo haya ya uteuzi.Nakubaliana nawe, lakini hebu kwanza angalia ujuha unao fanyika: pamoja na kuwa na uzoefu wa kushika nyadhifa za uwaziri kwa muda mrefu, na kuwa mtaalam wa mambo ya sheria; katika muda huo mfupi wateuzi wake kweli wameweza kufanya tathmini ya mambo aliyo weza kufanya na aliyo shindwa kuyafanya na kuamua kuwa hafai kwenye nafasi hiyo?
Hawa watu wana teuliwa, hata kabla hawajatulia kwenye nafasi mpya walizo teuliwa, hapo hapo wana tibuliwa na kupelekwa eneo jingine wakaanze upya!
Nani hufanya kazi namna hii halafu upate mafanikio.
Jambo la kujiuliza ni kama wateuliwa hawa hupewa na kuelezwa malengo wanayo takiwa kuyafikia katika muda maalum wa kazi zao (Performance Indicators). Je, huyu Kabuti kashindwa kufikia malengo aliyo pangiwa katika muda mfupi huo, au kuteuliwa ni basi tu kujaza nafasi wizarani?
Akatae Vx , wanasiasa wa kiafrika ni maslahi mbele heshima baadaye , ila vyeo vingine vinadhalisha kweli kulingana na elimu na professional ya mtu.hauondoshwi kwa sababu ya utendaji mbovu bali afrika unaondoshwa kwa sababu umekuwa tishio au umepishana na mkubwa wako. Kama utendaji wako mbovu unalalamikiwa utatafutiwa wizara ambayo haina lawama nyingi kama habari na michezo, au mambo ya nje, au mazingira uendelee kula mema ya nchi.
Hii Ndio elimu ya Donald TrumpMarekani huwezi kuta watu wasomi serious kwenye siasa!
Siasa ni za wajanja wajanja kama Trump!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena mzee wetu apewe na viboko, wakizingua kina Chino wanaman ni kuwatembezea bakora
Wana yang'ang'ania hayo madaraka ya uteuzi kwa sababu ndiyo nyenzo ya kuwafanya miungu watu.Na ndiyo maana wananchi walipiga kelele Rais apunguziwe madaraka, yakiwemo haya ya uteuzi.
Marekani huwezi kuta watu wasomi serious kwenye siasa!
Siasa ni za wajanja wajanja kama Trump!
Basi tuache kitabu; machapisho ya kitaaluma je?Hahaha aandike vitabu? Umeshawahi kuona kitabu chake hata kimoja? Ukileta kitabu kimoja cha prof Kabudi nitakupa dola elf mbili.
Kuna mawili mosi ni la Katiba labda hakuwa njia moja na wenginehuyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.
Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.
Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?
Kiukweli hata mimi nilipopata habari hii nimeona huyu professor hajatendewa haki kupewa wizara ya michezo na utamaduni.huyu anaenda kupigizana kelele na akina Stive Mingele, akina Kingwendu, Bambo, wanamichezo kama akina Mkude na wengineo . Akina Shilole, ,sijui nani na nani. Msomi ambaye alipaswa arudi Chuo alipwe vizuri afundishe sheria.
Aandike vitabu na vitabu. atoe ushauri wa kisheria. aisaidie nchi kwenye kuingia mikataba ya akili. anaenda kushiriki Tamaduni, kufanya sanaa na michezo kwa mambo ya msingi.
Ataapishwa naye atashukuru. hapo ndo utachoka. angekuwa sehemu za watu wenye akili angeshukuru na kusema "Mheshimiwa Rais nashukuru kwa kuniheshimisha hivyo lakini kwa kweli kutokana na kasi yako na utendaji wako uliotukuka naona kama sitaweza ku perform kwa kiwango kile kinachopaswa." angekataa kwa heshima.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Lakini kwa kuwa huku nchi za kwetu hatutumii akili atafurahi huyu msomi nguli wa sheria. anaenda kwenye Wizara ambayo angeongoza mtu ambaye amesoma Physical Education au Fine and Performing Art. au tu mwenye Degree ya Social Science. sasa aaneda huyu kukaa Wizara hiyo?