Elimu ni ya Yesu.Ukimjua Yesu basi wewe una elimu, Alikuwepo kabla ya Kuumbwa kwa Ulimwengu. Ref katika kitabu cha Yohana Mt, Hapo mwanzo kulikuwapo na NENO naye NENO alikuwa kwa MUNGU na vyote vilifanyika kwa NENO. So without NENO ambaye ni Kristo leo hii tusingejua chochote. Hata hiyo Physics, Biology, Psychology, Maths, Medicine and everything vimekuja baada ya neno.
Usomi ni kwa Mwanadamu.Tupo na Wahandisi,Wanasheria, Madaktari, Wahasibu, Wachumi nk. Neno Msomi limetokana na neno Soma. Na msomi wa kwanza Duniani ni Sauli ambaye baadaye alikuja kuwa Mtume Paulo.
Ndiye msomi aliyefanya kazi kubwa ambayo hadi sasa haijafanywa na yeyote na haitokaa ifanywe na yeyote.
I stand to be corrected.