Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Mwalimu REJESHO HURU, mbona uandishi wako wa hovyo sana? Kama mwalimu kuandika vizuri huwezi, Kiswahili kinakupiga chenga, hao watoto wetu watakuwa kwenye hali gani?
 
Baraza liko SMART?
Yaani baraza kufaulisha wanafunzi ndo kuwa smart? Kuwaambia wasahihishaji (mpatie alalama,unasoma nini wakati alama siyo zako ni za baraza?) Umezingua sana mkuu.
 
Baraza liko SMART?
Yaani baraza kufaulisha wanafunzi ndo kuwa smart? Kuwaambia wasahihishaji (mpatie alalama,unasoma nini wakati alama siyo zako ni za baraza?) Umezingua sana mkuu.
(mpatie alalama,unasoma nini wakati alama siyo zako ni za baraza?)

UMEANDIKA NINI HII?
 
(mpatie alalama,unasoma nini wakati alama siyo zako ni za baraza?)

UMEANDIKA NINI HII?
Kauli za hao unaosema wako SMART kipindi cha usahihishaji wa mitihani ya Taifa.Km kuna makosa hayo hata wewe unafafanya sana hapa,na hilo neno nime lirudia rudia sasa sijui hujavaa miwani yako ama unakwepa kwa makusudi.

Una lingine nikusaidie?
 
Sijaelewa bado lengo haswa na msonde ni nini, maana ni kama anavuruga badala ya kujenga. Kuna na hiyo MEWAKA yaani ni full mvurugano.
Mwalimu, "lengo haswa na msonde- lengo haswa la Msonde".

Uandishi huu !!!
 
Si ndio ujinga huu ambao tunausema Yani mama ana kazi kubwa Sana anatakiwa atoe huu ujinga inaonekana uko katika idara zao Kuna mafungu so wapo kuyatengenezea mazingira, mama kata mafungu Hawa watu wanazingua
Zingatia herufi kubwa inatakiwa wakati gani katika uandishi.
 
Walimu wamegeuzwa wase**** kwa kuletewa manyoka nyoka ummy mwalimu alisema likizo walimu na watoto wapumzike Sasa uyu msonde kawaletea ujinga huo arafu hivi uyo msonde umri wa kustafu ujafika kweli maana uzee una shida
Acha matusi.Toa hoja ujibiwe kwa hoja. Uandishi mbovu mno. Unafundisha darasa la ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…