Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
🤣🤣🤣 Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .Dah ualimu Kaz ya kisenge [emoji23][emoji23][emoji23]
Najitetea wapi? Kwa sababu zipi? Najitetea ili iweje?Yaani huo ndo utetezi wako?
Una hoja ila uandishi wako unayumba yumba, mfano nyums, mabadiriko, kiyfupi n.k.Twende mbele turudi nyums.
Msonde ni mtu kazi na ni mtu wa mabadiriko,nazani wote tumeona alichokifanya baraza,baraza lina oparate kama jeshi kiyfupi lipo smart.
Sasa huko tamisemi anataka mambo ya kale yaishe,japo kuna vitu hajazingatia ila sekta ya elimu na mifumo lazima ibadirike tuache kulia lia.
Sasa hapo mnaongelea likizo,likizo watumish ipo ya siku 28 kwa mwaka,likizo zingine ni za wanafunzi,kama kuna kazi za kufanyika mashulen bila wanafunzi kuwepo zifanyike,hiyo mifumo ishughulikiwe.
Jambo ambalo napingana nae ni hilo la watoto kurudia orientation course,kwa muda upi uliopo?je topic zitamalizwa lini?
Pia watoto wasilazimishwe shule na ufaulu usilazimishwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .
Andalio waandae na tutafatilia ufundishaji pia!!.
Walizoea, wanaenda shulen kufundishaz bila Maandalio, wakifika ni stori tuuu
Sasa hapo wanataka Kujifanya eti, Muda mwingi watautumia kwenye kuandaa Maandalio alafu wasifundishe, Hawa washughulikiwe haswa.
mungu Yani. Mwalimu ndio nini hii? Ulitakiwa kuandika "Mungu yani".Yani wamekuja na vitu vya ajabu ajabu mpaka unahoji kwani mwalimu ni mungu Yani anaweza kutenda miujiza kwa jinsi wanavyolazimisha vitu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Walimu wana Roho mbaya sana, anyway sikupataVipi mkuu,ukiwa mwalimu wa tempo kule lindi uliacha?
Duuh aiseh msonde anazid kuwadidimiza walimu na kuwatia tuu hasira, sasa walimu wakipanda hasira wanamalizia kwa watoto sasa hapo kuna kujenga kweli...!!??Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini
Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu
Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto
Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Tatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashiTatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashi
Walimu saiz wanaandika kuliko hata mwanafunzi, imagine mwalimu wa physics uko peke ako shule nzima na kwasiku vipindi vya F. 1 mpaka 4 ni kama nane hivi tena kila darasa lina mikondo sasa niambie huyu mwalimu anawezaje kuandika lesson plan nane kila siku, ila hawa ni robot halo yani yanaweza eti [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .
Andalio waandae na tutafatilia ufundishaji pia!!.
Walizoea, wanaenda shulen kufundishaz bila Maandalio, wakifika ni stori tuuu
Sasa hapo wanataka Kujifanya eti, Muda mwingi watautumia kwenye kuandaa Maandalio alafu wasifundishe, Hawa washughulikiwe haswa.
😁 Vyeti vya ualimu bado unavyo? Nkupe kazi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Walimu wana Roho mbaya sana, anyway sikupata
Ivi- hivi, nyuzi-uziIvi mama si alisema huwa anapita humu jf? Umeandika bonge la nyuzi mzee.
Wanasiasa ilibidi watenganishwe na wanataaluma,,Kuchanganya siasa na taaluma Kuna athari kubwa Sana ,,,Wanasiasa ilibidi watenganishwe na wanataaluma,,Kuchanganya siasa na taaluma Kuna athari kubwa Sana ,,,
Mkuu wa wilaya na mambo ya Taaluma wap na wap