Mje na ndoo zimejaa maji leo π€£ nawafungulia introπ usiku tutaonana kombania
ww endelea kunen'geneka π€£π€£ nakuzooom tuYaani una ka hold kidogo, Kisha una angalia mbele, then u look back at meπ€
Do it bhana π, hutaki niote π€£ww endelea kunen'geneka π€£π€£ nakuzooom tu
Ngoja ninywe maji ya kutoshaπMje na ndoo zimejaa maji leo π€£ nawafungulia intro
Jomba unaanzaje kumfanyia hivyo mama wa watoto wako? Huo ni ushenzi ambao hata ikitokea umefanya nenda kafanye na makahabaHakisha ukioa unamfir mkeo hii itasaidia maana wakishafir njee ndo ayaa mamb yanatokea
Nakazia hapaMimi kama wanataka tugawane jasho langu nitamuachia vyote na sitaenda mahakamani hata mahakama ikiniita, nitakachofanya ni kurudi kwa Shetani kumshitakia dhuluma hiyo kimyakimya.
Mahakama za Duniani ni za kipumbavu sana, haiwezekani mali nitafute mimi kisha tugawane 50/50 ila mali alizotafuta mwanamke eti yeye ni zake zote.
Umewahi sikia mahakama za duniani zinagawa mali za mke kwa mume pindi ndoa inapokufa?Sheria ipi inasema mali ya mwanamke ni yake pekee?
Umelishwa Matango pori ndugu
Umemjibu vyema kabisa.Umewahi sikia mahakama za duniani zinagawa mali za mke kwa mume pindi ndoa inapokufa?
Sasa hakuna mgao mali zote za mwanamkeHakupenda kudhulumiwa jasho lake kutoka ZESCO.Sheria zifungue macho.
kuna sisi wengine, katika purukushani za kutafuta maisha tumeingia mpaka kwenye hatari za vifo nje nje...unapoamua kuingia kwenye ndoa, ukathubutu kuonyesha tukucha twako kwa kutaka mali zetu, umeisha chap, kabla hujatimiza adhima yako....Inaumiza sana pale unapoingia kwenye ndoa ukitarajia kuondoka na Mali za mtoto wa watu....mi naona tujifunze kuondoka na wanetu Mali mwachie Mwenye nazo
Cc: DR SANTOS
Bado uko uyole mkuu?Nasema ivo sababu wakatinavunja yangu nilichukua wanangu tu mkuu[emoji1431]
Gadner alitoka mikono mitupu kwa LadyJaydee, lkn ingekua vise versa kelele zingekua nyingiUmewahi sikia mahakama za duniani zinagawa mali za mke kwa mume pindi ndoa inapokufa?
Yeah,karibu
Yeah surekuna sisi wengine, katika purukushani za kutafuta maisha tumeingia mpaka kwenye hatari za vifo nje nje...unapoamua kuingia kwenye ndoa, ukathubutu kuonyesha tukucha twako kwa kutaka mali zetu, umeisha chap, kabla hujatimiza adhima yako....
kifupi kama unaingia kwenye ndoa, tamaa ya mali weka pembeni kabisa,...
Ni balaaGadner alitoka mikono mitupu kwa LadyJaydee, lkn ingekua vise versa kelele zingekua nyingi
Nani amekwambia hivyo kwa sheria ipi?Sasa hakuna mgao mali zote za mwanamke
Hasira hasara