Mstaafu wa Jeshi atuhumiwa kuua kwa risasi kisa mgogoro wa mipaka

Unatishwaje na raia? Chomoa cha moto maliza kazi, jamaa nalo jinga mtu ana cha moto unaanza kumwomba nipige uone, unakula ya kichwa, hiki kibabu nadhani kilikuwa kibodigadi cha Nyerere moja tu jamaa chali
Acha ujinga,MTU mzima wewe,we are discussing about human life lost unnecessarily, hahaha mbuzi pale!
 
Dalili za maisha kuwa magumu
 
Unatishwaje na raia? Chomoa cha moto maliza kazi, jamaa nalo jinga mtu ana cha moto unaanza kumwomba nipige uone, unakula ya kichwa, hiki kibabu nadhani kilikuwa kibodigadi cha Nyerere moja tu jamaa chali
Hii ni zao la kuchua waliofeli na mabogus ndio muwe maaskari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauz wew si unagombea mpaka labda unagombea hatua mbili yey anakuongezea na tatu juu uku akichomeka sale ogopa sana
Duu hatari sana. Hiyo sale ni kifaa gani mkuu? Na je, kama yeye ndo mkorofi anakudhulumu hizo hatua 2 inakuwaje?
 
Huyu ziganeje ni jirani yetu ametusumbua sana tokea tukiwa watoto kutoa bunduki na kupiga hewani ni jàmbo la kawaida ,amedhurumu mipira yetu tulipokuwa tunacheza jirani na kwake coz ni uwanja wa shule ya msingi mbezi juu, pia amekata eneo la shule kwa kudhurumu ,mwaka juzi wananchi walimpiga nusu kumuua baada ya kumpiga mwanafunzi mpk kuzimia polisi wakaja kumuokoa . Huku tunamwita putin
 
hakuna justification yoyote ya kuua mtu kwa namna yoyote ile uwe umesikiliza kila upande ama lah! nasisitiza hakuna na wala haipo kuua wewe ni muuaji tu Period.
 
Ukubwa wa eneo sasa linalogombewa
Utakuta vihatua 3,4 tu
Na siku zote ugomvi wa ardhi huwa mmbaya sana,kama watu hamuelewani iko siku ardhi hiyo hiyo
Itammeza mtu

Ova

Na kweli utakuta hatua tatu zinawagombanisha
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli kabisa jamaa amesema kweli,kudhulumu ardhi ni kosa kubwa mbele za mungu, Kwa wale wanao amini kuwa IPO siku tutaulizwa mbele za mungu,mjiepushe na dhulma ya ardhi
 
Hawa wazee waliotumikia Jeshi wanakuaga na PSTD yani wakikorofishwa wanaona kama bado wako vitani...!!!
Sifa za kijinga tu... ..

Kujiona muhimu zaidi ya wengine.. ..Kuna mmoja huku alikuwa analazimisha kuchota maji bila kukaa foleni..kisa JW..na mkewe ndio balaa.. ..walichofanyiwa sasa..mpaka kesho ..wanaishi Kama raia wengine na Wana staha haswa.. ...ulimbukeni flani tu!

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…