Scrum Master
JF-Expert Member
- Apr 28, 2021
- 243
- 424
Acha kugeneralize tabia mjomba. Judge kisomi.Wana hila sana hao watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kugeneralize tabia mjomba. Judge kisomi.Wana hila sana hao watu
Huyu jamaa alikuwa na chawa wake anaitwa Ranso, mtu hawezi kutoka akiwa na cha moto na kuanza kumwaga ndugu tu, lazima kulikuwa na mzozo na kwanini ampige mmoja mwingine a mwache, maswali ni mengi kuliko majibuBRO usimlamumu marehemu bila sababu mtu akichomoa akakoki hata ukimbie itakupata tu.
Nimepakana na jamaa mmoja (mhirack) pasua kichwa! Kichwani mweupe haelewi kila siku ugomvi! Uzuri natenganishwa naye na barabara. Anatamani ahamishe/achepushe barabara ije kwangu! Ukiwa na jirani kama huyu na ukawa mpole, uwe na uhakika atakunyanganya eneo lako! Wakati mwingine inabidi ukomalie mali yako na ya watoto wako no matter what!
Wachaga wana Mila yao ukigombania kwake anapiga hatua tatu anaweka sale ukiwa kichwa maji ukikubali hiko kipande huchukui round lazima wakuzikeNi upuuzi kugombea futi 3 za mpaka na kuwekeana uhasama hata kufikia hatua ya kuuwana. Futi 3 ambazo hata kuchimba kaburi hazitoshi. Mimi jirani akisema huku kwangu, nikatumia njia yote kumwelewesha kuwa sio kwake, akang'ang'ana na kuhamaki na njia zote kusuluhisha zimegoma. Namwachia.
Yaani anakiuza?Wachaga wana Mila yao ukigombania kwake anapiga hatua tatu anaweka sale ukiwa kichwa maji ukikubali hiko kipande huchukui round lazima wakuzike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.Mimi ninaye jirani kama huyo wa kwako, tena huko huko maeneo ya wazo. Yeye kafukia barabara ili ihamie kwenye ardhi yangu, hivyo kaongeza kiwanja chake kwa kufukia barabara ya zamani. Naye ni askari mtaafu alafu Mchaga. Ukiirudisha barabara kwenye njia yake ya asili, yeye anaamka saa 8 usiku anaifukia tena. Yaani ni shida!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mzee mmoja nae ni mstaaf wa geshi basi hua ananikataza mpk kupaka rangi nyumba yangu et matone yatadondokea kwake
Hata kama ndiyo uue kwa ardhi ambayo utaiacha hapahapa duniani!!!! Halafu ukute eneo wanalogombea hata mita za mraba 6 hazifiki.Inawezekana kabisa walikuwa na ugomvi wa mipaka kwa muda mrefu.
Hauz wew si unagombea mpaka labda unagombea hatua mbili yey anakuongezea na tatu juu uku akichomeka sale ogopa sanaYaani anakiuza?
Mleta uzi kaukopi na kuupest, hajaandika yeye.Umeandika utafikiri umekurupushwa, tulia andika uzi wako kwa mpangilio hata mtu akisoma anaelewa.
Wewe ulionaje yaani, tupe maoni yako tushee.Leo nilienda kwenye huu msiba nimeona na mpaka waliokuwa wanagombania kifupi huyo mzee akijitoa akili acha akafie jela, kesho tunaenda kuzika!
Kuua bila kukusudia hukumu yake ni kifungo cha nje?Ameua bila kukusudia atahukumiwa kifungo Cha nje ataendelea kukaa kwenye kiwanja chake
Hasara kwa marehemu
Mi nadhani tunakomenti kwa kuegemea upande mmoja wa habari.Wajeda huwaga wanajikuta miungu watu sana , sasa akapambane na vijana wa Brig. Gen Mzee kule Segerea. unaua mtu kisa vimiguu viwili sasa kapata nini
Ni Patience jameni... Sema Waandishi /Police wa Kibongo tenaPole kwa familia, lakini mtu unaitwaje Patient [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani
Achana Nate huyo, unauabila kukusudia kwa siraha ya Moto kwa mtu ambaye ni unarmed?Aliua bila kukusudia halafu akaenda kujificha kibaha. Risasi tatu ni za kuua bila kukusudia?
Bunduki iliyotajwa katika habari ni mark4 ambayo ni Rifle na si Bastola.Kama hio bastola aliiacha ndani akaifata akatoka mpaka nje akaikoki akampiga huyo mwingine hio ndo malice afore thought sababu kwa muda alioutumia kwenda ndani kuitafuta katika akili ya kawaida anaweza hata ghairi kutaka kuitumia ila kama ilikua ipo kiunoni akampiga jamaa mara moja..hio ni manslaughter ila kwa kupiga risasi tatu huyo alidhamiria kumuua