Msukuma: Nyie wasomi huko shuleni mnafundishwa kuliibia taifa? Kila mahali nchi hii wamejaa wezi wanaovaa suti na tai!

Msukuma: Nyie wasomi huko shuleni mnafundishwa kuliibia taifa? Kila mahali nchi hii wamejaa wezi wanaovaa suti na tai!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Geita vijijini Dr Musukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.

Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu.

Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake.

Chanzo: TBC
 
Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa

Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu

Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake

Source: TBC
Hakuna bunge pale

Ova
 
Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa

Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu

Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake

Source: TBC
Wezi ccm ambao ndio walimpa Ubunge wa wizi......Mwizi anamkoromea mwenzake
 
Serikali hii iliyonfunga binti miaka 20 kwa kukutwa na bangi na kuwaacha hao papa wakwenye ripoti ya CAG [emoji1][emoji1]
Kuna mtu kafungwa miaka 14 na Faini milioni 5 kwa kukutwa na Nyama ya mnyama ambae hana faida yoyote kwenye welbeing ya binadamu zaidi ya kuliwa na nyama yake hatoi zaidi ya kilo tatu
 
Wakati wa Sitta iliwezekana!
La kushulikia Tu Team EL

M6 alipambana sana na Vijana wa EL na akawangusha wote kupitia kiti chake

Jamaa alikua anabomoa Ngome ya EL ila Maajabu Mkwere akatema 2010

Bunge la S6 linasifika kwa kuwasagia kunguni waliokua against na Mwanalondo

Na Mpango wao ulibuma tusiongee sana wameshatangulia mbele ya haki wapumzike kwa Amani
 
Serikali hii iliyonfunga binti miaka 20 kwa kukutwa na bangi na kuwaacha hao papa wakwenye ripoti ya CAG [emoji1][emoji1]
Hao wanaotajwa kuwa wezi ni technical sana, wanapoiba wanatenga kiasi fula cha kwenda kuwapoozea hao wabunge, kumbukeni kuna wabunge walikamatwa kwa rushwa miaka fulani akiwemo Zambi, wengine nimewasahau
 
Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa

Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu

Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake

Source: TBC
Cha ajabu chama chake kilo madararakani kwa wizi wa kura!
 
La kushulikia Tu Team EL

M6 alipambana sana na Vijana wa EL na akawangusha wote kupitia kiti chake

Jamaa alikua anabomoa Ngome ya EL ila Maajabu Mkwere akatema 2010

Bunge la S6 linasifika kwa kuwasagia kunguni waliokua against na Mwanalondo

Na Mpango wao ulibuma tusiongee sana wameshatangulia mbele ya haki wapumzike kwa Amani
Lowasa ametangulia lini mbele za haki?
 
Back
Top Bottom