Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Huo ndiyo ukweli elimu yetu inatufundisha kuibia ambao hawakuisomea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mifumo inaruhusu that is why?Wizi na rushwa kila Kona, watu wanashindana kupeleka watoto shule za bei kubwa kwa hela za wizi, tukishaiba tunaitana wajanja na kusifiana kwa kupiga.
Mifumo iliyooza akiwekewa mtu aliyenyooka na yeye ataonekana kama ameoza tu..1/💯Huo ndiyo ukweli elimu yetu inatufundisha kuibia ambao hawakuisomea
Mbarawa, Makamba, Mwigulu, Aweso, Nape, Ummy, Bashe, Kijachu, Jafo na Masauni haya ni hatari sn
Nenda Mahakamani na ushahidi.
Msukuma ana hoja asikilizwe...!
Waajiriwa wa serikalini na mashirika ya umma ambapo ndiyo wizi umetamalaki ni wasomi wabobevu...huko kuna lundo la bachelor degrees, masters na PhD za kumwaga, wahasibu wao wamejaza CPAs kwenye CV zao lakini bado nchi imekwama...Je, imekwamishwa na nani?
Bila shaka wasomi hao wana mchango mkubwa kwenye mkwamo huo!
Tuseme ukweli...elimu ya mzungu haijamsaidia mwafrika kujitambua!
Kipind cha Mwalimu Nyerere waliiba sana mpaka kugawana mali za mkoloni ndio chanzo cha ukwasi kwa jamii nyingi na kuendeleza kizazi.
Mwalimu alikuwa na mengi ya kusema mpaka akang'atuka wengi walikuwa wanafaidika na mfumo ....Sema hapakuwa na media ila watu walijimiliksha hekari za kutosha na mali za mkoloni.
Kwanini shule za serikali zisiwe kama feza?Kama Mawaziri wanaiba kwanini watendaji wasiibe? nani hataki watoto wake wasome pale Feza?
Ajuza pole na mafuriko, nasikia huko kwa Bibi Nyau mlizingirwa na mafuriko siku 3 upo ndani, hilo swali muulize Mzanzibar mwenzako ndiyo ameshika mpini. Ameachia nchi watu wanagawana pesa za umma kama vile hakuna serikali.Kwanini shule za serikali zisiwe kama feza?
Kama mabosi wanaiba wewe utaachaje? mfumo mbovu ndiyo shida ya TanzaniaWatanzania wote ni WEZI.
Ni kwa vile tu wengine hawajapata nafasi ya kuiba.
Kwenye maongezi ya watanzania wengi utasikia wakisema akipata kazi serikalini yani michongo na madili kama yote atafanya.
Wizi ni asili ya mtanzania.Ukitaka thibitisha hili angalia mentality za watanzania wengi kutaka nafasi za kazi kwenye taasisi kubwa kubwa kama TRA,TPA n.k
Lengo si ili wafanye kazi kwa weledi, Ni kwa vile wanaona taasisi hizo madili ya maokoto ni chapu chapu.
Sasa ukiwa na kizazi cha namna hii, Hakuna maendeleo zaidi ya wizi, rushwa, uhujumu uchumi, ubadhirifu wa fedha za umma..
Hapa tatizo ni Rais mwenyeweAcheni lawama za kijinga. Shida ya hii nchi ni mfumo wa utawala wa CCM . Ulitaka muhasibu afanye Nini wakati Rais anatetea kukopa nje.
Kwa sababu ya mfumo mbovu unaolea wiziwiziWatanzania wote ni WEZI.
Ni kwa vile tu wengine hawajapata nafasi ya kuiba.
Kwenye maongezi ya watanzania wengi utasikia wakisema akipata kazi serikalini yani michongo na madili kama yote atafanya.
Wizi ni asili ya mtanzania.Ukitaka thibitisha hili angalia mentality za watanzania wengi kutaka nafasi za kazi kwenye taasisi kubwa kubwa kama TRA,TPA n.k
Lengo si ili wafanye kazi kwa weledi, Ni kwa vile wanaona taasisi hizo madili ya maokoto ni chapu chapu.
Sasa ukiwa na kizazi cha namna hii, Hakuna maendeleo zaidi ya wizi, rushwa, uhujumu uchumi, ubadhirifu wa fedha za umma..
Mwizi mkuu akifundisha wenzake jinsi ya kuiba👇😁😁😁
View attachment 2802488Mifumo inaruhusu mbuzi kukata kamba na kula zaidi ya urefu wa kamba zao.....