Msukuma: Nyie wasomi huko shuleni mnafundishwa kuliibia taifa? Kila mahali nchi hii wamejaa wezi wanaovaa suti na tai!

Msukuma: Nyie wasomi huko shuleni mnafundishwa kuliibia taifa? Kila mahali nchi hii wamejaa wezi wanaovaa suti na tai!

Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa...
Ccm mliko huko ndio imewalea ndio maana unaona hawataki kutunga sheria ya kuwafilisi achilia mbali kuwanyonga.

Hakuna wizi mkubwa hata mmja ambao haunufaishi wezi na wanaoiba ni wanaccm walio na Vyeo
 
Kipind cha Mwalimu Nyerere waliiba sana mpaka kugawana mali za mkoloni ndio chanzo cha ukwasi kwa jamii nyingi na kuendeleza kizazi.


Mwalimu alikuwa na mengi ya kusema mpaka akang'atuka wengi walikuwa wanafaidika na mfumo ....Sema hapakuwa na media ila watu walijimiliksha hekari za kutosha na mali za mkoloni.
Sina hakika kuhusu hilo Mkuu, ila Utambue hakukuwa na Kiongozi anaogopwa Nchi hii Kama Mwl Nyerere.

Hao viongozi kama kujimilikisha mali watakuwa walifanya miaka ya kuanzia 1985 kuja 2000

Ukisoma Kitabu cha Marehemu Mzee Mengi cha I can, I will, I must ameelezea vizuri.

Hayo matumbo makubwa ya Viongozi yameanza baada ya Kifo cha Mwl. 1999
 
Sina hakika kuhusu hilo Mkuu, ila Utambue hakukuwa na Kiongozi anaogopwa Nchi hii Kama Mwl Nyerere.

Hao viongozi kama kujimilikisha mali watakuwa walifanya miaka ya kuanzia 1985 kuja 2000

Ukisoma Kitabu cha Marehemu Mzee Mengi cha I can, I will, I must ameelezea vizuri.

Hayo matumbo makubwa ya Viongozi yameanza baada ya Kifo cha Mwl. 1999
Mwalimu ndie alikuwa soft sana hakuwa mkali kabisa ....Ila wezi walikuwepo tangu zamani amini .
 
Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.

Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu.

Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake.

Chanzo: TBC
Vp lile V8 la DP World analizungumziaje?
 
Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.

Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu.

Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake.

Chanzo: TBC
hiyo inamaana
 
20231103_173242.jpg
 
Msukuma ana wivu na wasomi [emoji23][emoji23]

Wakati wenzake wakisoma yeye alikimbilia kuchunga ng'ombe

Wizi wa Mali ya umma hauna Cha elimu wala nini
Wivu wake ni kwamba nyinyi ni majizi tu hamna la maana
 
Pumbafu kabisa. Kuna wanaolipwa na ni kazi yao kuchunguza na kupeleka mahakamani wezi. Unajua maana ya serikali?
Hawajaona kwakuwa wewe umeona hebu, kimbia chap mahakani usiogope.
 
Hawajaona kwakuwa wewe umeona hebu, kimbia chap mahakani usiogope.
Narudia. Tunachagua serikali na kuipa vyombo kama ili kuchunguza na kupeleka mahakamani wahalifu. Siyo kazi ya raia.
 
Narudia. Tunachagua serikali na kuipa vyombo kama ili kuchunguza na kupeleka mahakamani wahalifu. Siyo kazi ya raia.
Kwani mbona huwa tunaona watu wana mshtaki mwanasheria mkuu na viongozi wengine wa serikali, hebu Mkuu okoa jahazi wapeleke kortini.
 
Back
Top Bottom