ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ccm mliko huko ndio imewalea ndio maana unaona hawataki kutunga sheria ya kuwafilisi achilia mbali kuwanyonga.Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa...
Hakuna wizi mkubwa hata mmja ambao haunufaishi wezi na wanaoiba ni wanaccm walio na Vyeo