Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kabisa, halafu anajifanya kupigia watu kelele.Yeye mwenye ni jangili haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, halafu anajifanya kupigia watu kelele.Yeye mwenye ni jangili haswa
Majangili ya mali za umma nchi hii ni Mwigulu, Aweso, Ummy, Kijachu, Mbarawa, Bashe, Jafo,
SittaLowasa ametangulia lini mbele za haki?
Mgao hajapataKabisa, halafu anajifanya kupigia watu kelele.
Mbarawa, Makamba, Mwigulu, Aweso, Nape, Ummy, Bashe, Kijachu, Jafo na Masauni haya ni hatari snKumbe wanatambulika?
alafu Rais yupo kimya!!!!!!
I really wish wote watangulie kwa Baba
Ili sasa Kama Taifa tuanze upya!
Ukiona mdogo anabehave vibaya basi kaa ukijua mkubwa wake anatabia ya hovyo. Naona wangeanza na wajuu hawa watching wata jirekebisha wenyewe.Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa
Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu
Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake
Source: TBC
Hao wasomi wamemzidi kitu gani?Msukuma ana wivu na wasomi [emoji23][emoji23]
Wakati wenzake wakisoma yeye alikimbilia kuchunga ng'ombe
Wizi wa Mali ya umma hauna Cha elimu wala nini
Bado anahisi kuwa dissatisfied na Mali zake Kwa kukosa elimu...... that's y aliamua kujitafutia PhD ya mchongoHao wasomi wamemzidi kitu gani?
Msukuma pamoja na la 7D lake amefanikiwa sana
Nafikiri hujawajua wasukuma walivyo mkuu, hao husema chochote kikiwa moyoni.Bado anahisi kuwa dissatisfied na Mali zake Kwa kukosa elimu...... that's y aliamua kujitafutia PhD ya mchongo
Nenda Mahakamani na ushahidi.Mwigulu Mbarawa na wale wenzie ni wahujumu Uchumi wakamatwe
Yeye mwenyewe kapiga za DP kama falsa ya chama ni uwizi nani atazuiaMbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.
Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu.
Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake.
Chanzo: TBC
Huyu jamaa nilikuwa namdharau sana lakini nimekuja kugundua anaona makosa mengi ya serikali lakini anajisemea ''wananchi wenyewe wamelala mimi ni nani nijitie kimbelembele''Wezi ccm ambao ndio walimpa Ubunge wa wizi......Mwizi anamkoromea mwenzake
Pumbafu kabisa. Kuna wanaolipwa na ni kazi yao kuchunguza na kupeleka mahakamani wezi. Unajua maana ya serikali?Nenda Mahakamani na ushahidi.
Msukuma ana hoja asikilizwe...!Msukuma ana wivu na wasomi [emoji23][emoji23]
Wakati wenzake wakisoma yeye alikimbilia kuchunga ng'ombe
Wizi wa Mali ya umma hauna Cha elimu wala nini
Kipind cha Mwalimu Nyerere waliiba sana mpaka kugawana mali za mkoloni ndio chanzo cha ukwasi kwa jamii nyingi na kuendeleza kizazi.Tangu Utawala wa miaka 24 wa Mwl. Nyerere kutamatika mwaka 1985 baada ya hapo Viongozi wote wakaamua Kuchukua Chao Mapema
Huko pamejaa uwizi na dhuluma yaani mtu kupata stahiki zake ni kimbembe ila wanaiba mabillion ya pesa....Hapa bongo mtu akiajiriwa tu basi kashakuwa tajiriMsukuma ana hoja asikilizwe...!
Waajiriwa wa serikalini na mashirika ya umma ambapo ndiyo wizi umetamalaki ni wasomi wabobevu...huko kuna lundo la bachelor degrees, masters na PhD za kumwaga, wahasibu wao wamejaza CPAs kwenye CV zao lakini bado nchi imekwama...Je, imekwamishwa na nani?
Bila shaka wasomi hao wana mchango mkubwa kwenye mkwamo huo!
Tuseme ukweli...elimu ya mzungu haijamsaidia mwafrika kujitambua!