ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ccm mliko huko ndio imewalea ndio maana unaona hawataki kutunga sheria ya kuwafilisi achilia mbali kuwanyonga.Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa...
Sina hakika kuhusu hilo Mkuu, ila Utambue hakukuwa na Kiongozi anaogopwa Nchi hii Kama Mwl Nyerere.Kipind cha Mwalimu Nyerere waliiba sana mpaka kugawana mali za mkoloni ndio chanzo cha ukwasi kwa jamii nyingi na kuendeleza kizazi.
Mwalimu alikuwa na mengi ya kusema mpaka akang'atuka wengi walikuwa wanafaidika na mfumo ....Sema hapakuwa na media ila watu walijimiliksha hekari za kutosha na mali za mkoloni.
Mwalimu ndie alikuwa soft sana hakuwa mkali kabisa ....Ila wezi walikuwepo tangu zamani amini .Sina hakika kuhusu hilo Mkuu, ila Utambue hakukuwa na Kiongozi anaogopwa Nchi hii Kama Mwl Nyerere.
Hao viongozi kama kujimilikisha mali watakuwa walifanya miaka ya kuanzia 1985 kuja 2000
Ukisoma Kitabu cha Marehemu Mzee Mengi cha I can, I will, I must ameelezea vizuri.
Hayo matumbo makubwa ya Viongozi yameanza baada ya Kifo cha Mwl. 1999
Fatilia Vizuri historia ya Mwalimu Nyerere.Mwalimu ndie alikuwa soft sana hakuwa mkali kabisa ....Ila wezi walikuwepo tangu zamani amini .
TANZANIA 🇹🇿Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa...
Vp lile V8 la DP World analizungumziaje?Mbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.
Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu.
Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake.
Chanzo: TBC
hiyo inamaanaMbunge wa Geita vijijini Dr Msukuma amesema nchi hii imejaa Wezi kwenye Ofisi zote yaani ni Wizi kila kona na hakuna hatua zinachukuliwa na Mawaziri hawako serious kabisa.
Msukuma amesema ni aibu kuwa na taifa la Wezi ambalo kila mwaka CAG anatuletea Taarifa za Wezi tu.
Msukuma ametaka Bunge liwe na meno na Serikali ijiangalie sana katika Utendaji wake.
Chanzo: TBC
Lakini je anachosema hakituingii akilini?Bado anahisi kuwa dissatisfied na Mali zake Kwa kukosa elimu...... that's y aliamua kujitafutia PhD ya mchongo
Wewe huna mgao, hata za kusikia?Ajuza pole na mafuriko, nasikia huko kwa Bibi Nyau mlizingirwa na mafuriko siku 3 upo ndani, hilo swali muulize Mzanzibar mwenzako ndiyo ameshika mpini. Ameachia nchi watu wanagawana pesa za umma kama vile hakuna serikali.
Mi siyo mvaa kanzu, hii ni zamu yenuQ
Wewe huna mgao, hata za kusikia?
Wizi unaanzia kwenye ofisi kuuKama Mawaziri wanaiba kwanini watendaji wasiibe? nani hataki watoto wake wasome pale Feza?
Naunga mkono hoja ni hovyo snWizi unaanzia kwenye ofisi kuu
Wivu wake ni kwamba nyinyi ni majizi tu hamna la maanaMsukuma ana wivu na wasomi [emoji23][emoji23]
Wakati wenzake wakisoma yeye alikimbilia kuchunga ng'ombe
Wizi wa Mali ya umma hauna Cha elimu wala nini
Hawajaona kwakuwa wewe umeona hebu, kimbia chap mahakani usiogope.Pumbafu kabisa. Kuna wanaolipwa na ni kazi yao kuchunguza na kupeleka mahakamani wezi. Unajua maana ya serikali?
Narudia. Tunachagua serikali na kuipa vyombo kama ili kuchunguza na kupeleka mahakamani wahalifu. Siyo kazi ya raia.Hawajaona kwakuwa wewe umeona hebu, kimbia chap mahakani usiogope.
Kwani mbona huwa tunaona watu wana mshtaki mwanasheria mkuu na viongozi wengine wa serikali, hebu Mkuu okoa jahazi wapeleke kortini.Narudia. Tunachagua serikali na kuipa vyombo kama ili kuchunguza na kupeleka mahakamani wahalifu. Siyo kazi ya raia.