Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Kwakweli umeonyesha kwanini CCM inaendelea kututawa

YOUR A VERY SPECIAL STUPID GUY
 
Huwa wanakaa mitaa ya ndumbwe vijji vya katikati hapo....Ni ukaguzi wa aina ya weiziiiii ha haa
 
Jifunze kuandika kwa paragraph
 
Yes kwa usalama wa Taifa, hivyo ndivyo ilivyo sio kila kinachoihusu nchi basi kinaenda kua public announcement, ila kuna watu hawajui hilo
Usalama upi wa Taifa wa kuwaonea wapinzani stupid
 
Unamuaibisha mandonga kwenye hio Avatar yako, kwa jinsi gani ulivyo mjinga kupitiliza, uliwadharau wanaoilinda nchi yako?
Hakuna aliye wadharau ukweli lazima usemwe

Vijana mliotoka jkt mnakuwaga mnajiona mna moto sana kumbe zero
 
Hakuna aliye wadharau ukweli lazima usemwe

Vijana mliotoka jkt mnakuwaga mnajiona mna moto sana kumbe zero
Basi punguza dharau eleza kwa hoja km wenzio, sio kwa matusi eleza changamoto toa suluhisho, bila hivyo utaishia kuonekana km mtoto mjinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…