Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Basi punguza dharau eleza kwa hoja km wenzio, sio kwa matusi eleza changamoto toa suluhisho, bila hivyo utaishia kuonekana km mtoto mjinga tu
Ujinga ulionao kichwani ungeujua ungenyamaza

Eti fake newes

Shwain
 
Wamechagua wenyewe kufanya kazi za kijeshi, hakuna aliyewalazimisha.

Ukiua kwa risasi utauawa kwa risasi. War has no mercy.
 
Ila watz hawana uwazi sio la kupuuza hili serikali haina uwazi nchi hii
Hata km ila ni taarifa za uongo ingekua kweli Aljazeera ukiondoa CNN wangekua washarusha tayari hio taarifa huko kote wana vituo vyao vya habari, na Serikali ingekua ishatoa maelezo kuhusu hilo
 
Kanyonye, nishagundua hapa najibizana na mtoto mjinga
Nikiona watu design yako naihurumia sana nchi yangu.

Ivi kwa akili yako nani akae azushe tu kuhusu hilo suala

Unakuja unapanua matako fake news are you serious?


Ingekuwa fake JF wangeshaifuta mda tu

Fikiria kama mtu
 
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol

Poleni JWTZ jipangeni muwanyuke hao Magaidi.

Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movements zao.
Hii gorilla style ndio ikoje meja?
 
Unakuja unapanua matako fake news are you serious?


Ingekuwa fake JF wangeshaifuta mda tu

Fikiria kama mtu
Ndio maana nikasema wewe mtoto mjinga nenda kwa mama yako ukanyonye, hii meza ya wakubwa huna cha kuchangia
 
Back
Top Bottom