Utachekwa.
AK-47 hata sights za kuweka infrared scope uitumie usiku haina. Ikifika usiku unapigana kama mpuuzi tu wa Boko Haram wakati wewe ni mwanajeshi wa taifa. Huwezi funga sight ya kupima umbali na kulenga shabaha, inategemea uwezo binafsi wa kulenga na uzoefu wa mwanajeshi. Kama unadhani Tanzania ina wanajeshi exceptional kiuwezo basi hujui kulinganisha majeshi au unapumbazwa na uzalendo feki ule unaoamini kujikweza ndio kuipenda nchi.
Hamza pale Salender unajua walimrushia risasi ngapi kabla ya kumuua, wakati ni bonge nyanya refu, kijana mzembe wa familia ya kitajiri hata rifle ukute alikuwa anaziona kwenye movie na aliuwawa barabarani. Sasa angekuwa ni trained terrorist kwa zile AK-47 na SMG unamuua saa ngapi.
Hawa ni Botswana wanazo kama FN FAL na SAR 21
View attachment 2423673
Hawa ni Kenya nao wana hizi na AK-47 bado zipo nyingi
View attachment 2423674
Hawa ni Russia standard rifle yao kijeshi kwa sasa ni AK-12 ambayo ni derivative ya AK-47 ila ya kisasa ingawa characteristics ni zilezile. Na hii ndio iko very simplified na basic. Waasisi wake wanaziacha kama sio outdated kwa nini
View attachment 2423676
Hawa ni China na QBZ-191 ambayo ndio standard rifle. JW niliwaona na kitu kama QBZ-95 mwaka jana/juzi walipopigwa ambush na hawa magaidi ikakamatwa APC ya Kichina. Wachina walikuwa na SMG zao na copycat ya AK-47 wanaita Type 56 wakaziacha. Kama sio outdated kulikuwa na haja gani
View attachment 2423677
Bunduki design ya 1947 haiwezi tumiwa na taifa serious kujilinda. Hiyo ni very cheap ila hata effective range yake ndogo kiasi, accuracy ndio kwa standard za sasa ni ndogo na sights hamna. Hizo bunduki nilizotaja wala sio expensive, sio lazima ziwe hizi. Wajerumani ndio wana bunduki nyingi hatuwezi afford