Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Tatizo bajeti haziruhusu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bajet eti heee!.

inakuwaje nchi changa kwetu wasiotuzidi hata rasilimali wanamiliki varn military cars nzuri,sisi tunang'ang'ana na Land cruzer hard top kwenye war scale mission?.

zama zimebadilika tusipobadilika na sisi hatutotisha tena kama zamani,ndo kama hivyo vijana wa kigaidi wanapeleka moto kizembe kwa JW,,nimechukia sana kwakweli.
 
Wanajeshi waoga wa kufa wamekimbia eneo la mapigano,sijaona maiti hata moja hapo.
 
Bajet eti heee!.

inakuwaje nchi changa kwetu wasiotuzidi hata rasilimali wanamiliki varn military cars nzuri,sisi tunang'ang'ana na Land cruzer hard top kwenye war scale mission?.

zama zimebadilika tusipobadilika na sisi hatutotisha tena kama zamani,ndo kama hivyo vijana wa kigaidi wanapeleka moto kizembe kwa JW,,nimechukia sana kwakweli.
Sababu zenyewe vita muda wowote.

Jeshi letu ni kubwa ili magari yatoshe jeshi zima itahitajika zaidi ya 500bil.

Ushauri kiundwe kitengo cha jeshi cha kutengeneza vifaa vyao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Nashangaa sana Watanzania hawajabisha. Miaka miwili nyuma hapa ningesema hivi wangeniita sio mzalendo, niko kwa shemeji nalala wakati watu wananilinda misituni, jeshi letu ni imara sana. Kuna wale hamna kitu kabisa wanadiriki kusema sisi jeshi la ardhini ni wa kwanza Afrika, wengine wanakwambia jeshi ni uzalendo as if ukivamiwa na adui uzalendo ndio mbadala wa silaha.

Wengine hushangilia na kusifia maonyesho ya makomandoo kwenye sherehe za uhuru wakijua ndio uwezo wa kijeshi. Zile gears wanazokuwa nazo sijawahi zikubali kabisa, show za ukakamavu sizipingi ila haiondoi udhaifu wa kutokuwa na zana bora.

Changamoto ni kwa serikali, jeshi halina tatizo lolote. Specifically tatizo ni umaskini na mikakati. Tusiombe kudhibitisha ninachomaanisha, navy ipo Kigamboni ila siku itokee kivuko kimepata changamoto kwenye maji unayoona pande zote mbili kwa macho utashangaa performance ya jeshi.

Na zana ninazosema hapa sio hizi za kupigana na taifa jirani.
Nasema zana chache kufanya missions dhidi ya magaidi, majangili, maharamia na kufanya uokoaji maana zana huwa na dual use. Pale ajari ya ndege Bukoba wangekuwepo sailors na divers wa navy wangesaidia. Sasa ushindwe kuokoa watu 30 ajari ya 150 meters kutoka ufukweni sembuse ajari ya meli yenye mamia ya watu kilomita ngapi ziwani ambapo raia wema hawatokuwepo
Niliwahi sikia eti jeshi la ardhin linaongoza ni kweli?
 
Hao ni kuwashambulia kwa drones za Iran tu
Kwenye vita hakuna kulialia ni kujipanga tena na kuwafumua tu
 
Jamani Hawa IS si watu wazuri
Kuna jamaa anatengeneza maboti pale Slipway boat yard mwarabu wa Mombasa naskia nae ni member inabidi achunguzwe maana siku chache zilizopita ulizuka moto Slipway
Unatakiwa uisaidie Police
 
Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
Kwahiyo unapendekeza kusiwe na Jeshi sio.
Kama kazi ngumu vipi wafanyakazi wa monchwari.

Maana ya maisha ni lazima kuwe na watu wa kujitolea kufanya kazi ngumu ili wengine walio wengi waishi salama.

Kazi ya Jeshi sio ya ajira bali ni ya Kujitolea.
Yaani kujitoa mhanga wa roho yako ili wengine wawe salama.

Ingependeza kuwa na kauli za kuwatia moyo badala ya kuwadhihaki.
 
Bajet eti heee!.

inakuwaje nchi changa kwetu wasiotuzidi hata rasilimali wanamiliki varn military cars nzuri,sisi tunang'ang'ana na Land cruzer hard top kwenye war scale mission?.

zama zimebadilika tusipobadilika na sisi hatutotisha tena kama zamani,ndo kama hivyo vijana wa kigaidi wanapeleka moto kizembe kwa JW,,nimechukia sana kwakweli.
Amani tuliyo nayo inatuponza, tumeona hatuwezi kuwekeza kwny vitu ambavyo c kipaumbele, na kwa upande mwingine bora lilivyotokea sasa tutaviingiza hivyo vifaa bila wananchi kulalama maana tutakua tumesha ona umuhimu wake
 
Sababu zenyewe vita muda wowote.

Jeshi letu ni kubwa ili magari yatoshe jeshi zima itahitajika zaidi ya 500bil.

Ushauri kiundwe kitengo cha jeshi cha kutengeneza vifaa vyao

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
B500 ndio ya tanzania kuumizia kichwa!!? Hata ingekua T2 au 3 ni sawa tu! Shida unaweza kutia huo mzigo alafu wakaenda kununua vifaa vya miaka ya 70
 
Mchambuzi wa masuala ya kijeshi hapa jf.

Jamaa angefaa Sana kulitumikia jeshi letu maana Sina uhakika kama Ni mjeda.
Mimi nahisi ni mjeda. Unajua kwa mtu wa kawaida Kama Mimi ambae naamka tu Kisha naenda kwenye mishe zangu za kuuza kitumba pale karume,hata niwe mtu wa kufuatilia kiasi gani hizi mambo za ulinzi na usalama itaniwia vigumu Sana kujua&kujadili nondo Kama za huyu jamaa. Inabidi uwe kwenye hiyo circle ndiyo uweze kutoa hizi nondo ambazo ziko deep kiasi hiki.

Ambacho namkubali mwamba T14 Armata Ni kwamba yyko deep na hata umkosoe hana lugha za kujibizana kimaudhi na Wala hana tabia ya kuvaa utukufu. Very humble guy!!

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
Ni kazi ya hovyo mkuu wala hujakosea.
 
Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.


View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423

---
Ili kujua ukweli na kina cha habari hii tembelea Jukwaa la Jamii Check

- KWELI - Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
mtegemee Mungu we unadhani binadamu mwenzako anaweza kukuinda na chochote?
 
Back
Top Bottom