CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Acha ujinga wako, kwamba hizo taarifa apewe nani?Mode naomba ufutwe huu uzi si kila taarifa ina hitaji jamii kujua. Mtoa mada unasafari ya kujifunza juu ya ulinzi n aman ya nchi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga wako, kwamba hizo taarifa apewe nani?Mode naomba ufutwe huu uzi si kila taarifa ina hitaji jamii kujua. Mtoa mada unasafari ya kujifunza juu ya ulinzi n aman ya nchi yako
We jamaa una akili gani wewe!!!! Sasa si ndo majukumu yao unadhani kila mtu akiwa na akili kama zako nchi itakuwa na jeshi????Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
V8 ya 2022 namba A naiwasha sasahivi naenda hapo, kabla hawajaleta ya west_gate hapa, maana hawa kwa revenge hawapo nyumaJamani Hawa IS si watu wazuri
Kuna jamaa anatengeneza maboti pale Slipway boat yard mwarabu wa Mombasa naskia nae ni member inabidi achunguzwe maana siku chache zilizopita ulizuka moto Slipway
Kwahiyo ulitaka wewe utekwe kwenye huo msafara ndio ujue ni real news.?Mimi na wewe anaeamini taarifa za kuzusha kwenye social media nani ana akili? Jipimie
Hapo una mchumu na unapita hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata kama naishi kwa dada yangu bado ukweli utabaki vilevile kuwa kazi ya jeshi ni ya kijinga.
Unaishi kwa amri mpaka unastaafu.
Hata CDF anaishi kwa amri, je hawa ma junior!!
Mchambuzi wa masuala ya kijeshi hapa jf.Kwahyo avatar yako sidhani kama kuna mtu atakuja kukukosoa[emoji23]
Huna mamlaka ya kuniambia hayo unayoniambia, km hujaelewa nilichosema ni kheri usinijibu ninachokiandika
Wewe mwenye akili zimekupa utajiri kiasi gani? Umezifanyia nini hizo akili ulizonazo zaidi ya kubishana na mimi unaesema sina akili au ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiri? Alafu unabishana na mimi huku unasema sina akili hivi unadhani nani anaeonekana hana akili? Jipimie ila usipimane na mimi, JF kumbe kumejaa WAJINGA hiviNdio maana unaambiwa huna akili, kumbe ni kweli!
Nashangaa sana Watanzania hawajabisha. Miaka miwili nyuma hapa ningesema hivi wangeniita sio mzalendo, niko kwa shemeji nalala wakati watu wananilinda misituni, jeshi letu ni imara sana. Kuna wale hamna kitu kabisa wanadiriki kusema sisi jeshi la ardhini ni wa kwanza Afrika, wengine wanakwambia jeshi ni uzalendo as if ukivamiwa na adui uzalendo ndio mbadala wa silaha.
Wengine hushangilia na kusifia maonyesho ya makomandoo kwenye sherehe za uhuru wakijua ndio uwezo wa kijeshi. Zile gears wanazokuwa nazo sijawahi zikubali kabisa, show za ukakamavu sizipingi ila haiondoi udhaifu wa kutokuwa na zana bora.
Changamoto ni kwa serikali, jeshi halina tatizo lolote. Specifically tatizo ni umaskini na mikakati. Tusiombe kudhibitisha ninachomaanisha, navy ipo Kigamboni ila siku itokee kivuko kimepata changamoto kwenye maji unayoona pande zote mbili kwa macho utashangaa performance ya jeshi.
Na zana ninazosema hapa sio hizi za kupigana na taifa jirani.
Nasema zana chache kufanya missions dhidi ya magaidi, majangili, maharamia na kufanya uokoaji maana zana huwa na dual use. Pale ajari ya ndege Bukoba wangekuwepo sailors na divers wa navy wangesaidia. Sasa ushindwe kuokoa watu 30 ajari ya 150 meters kutoka ufukweni sembuse ajari ya meli yenye mamia ya watu kilomita ngapi ziwani ambapo raia wema hawatokuwepo
si msumbiji au umesoma robo?Mleta mada hao isis wamewapiga JWTZ wakiwa wapi?
Tuko pamoja katika ujenzi wa taifaNakuunga mkono
Hiyo ni Maxxpro na silaha za Magharibi ni za bei kidogo. Tunaweza chukua za South Africa (tunazo kadhaa, Kenya wanazo, Uganda wanazo na wana assembly line walijenga, West Africa ndio zimejazana). Tunaweza chukua za Uturuki na Chinese. Russia zile BTR na BMP ni heavy sana hazifai kupigana na magaidi na sio za kisasa kivile kwa leo, kwanza sio MRAP zile. Ujue silaha ukinunua utakaa nayo miaka 30 uko, sasa ukinunua silaha ya 1970 leo ni hasara. Kwa Russia ile Tigr nayo ni nzuri.
Kenya mwaka jana waliagiza Katmerciler Hiriz kutoka Uturuki kama ile niliyosema wanazo Chad. Mtengenezaji anaweza kukupa configuration tofauti kama command & control vehicle, CBRN vehicle, weapon carrier, ambulance, border-security vehicle au reconnaissance vehicle. Kutokana na configuration na bei inatofautiana ila Kenya iliagiza magari 118 kwa bei inayokadiriwa kuwa ni $70 million. Sio expensive kivile Waturuki hawana bei ya kukomoaView attachment 2423733
Ni 4×4 ina Allison system kwenye uendeshaji, magari kama haya hayatakiwi kupinduka wanajeshi ndani wasijigonge kuvunjika au kupata brain damage likikanyaga bomu
Hatuna udhaifu kwenye intelligence bali tuna udhaifu kwenye jeshi zima, kila kitu. Amini ninachokwambiaWatu kadhaa wamefariki.
Sitaiweka wazi source.
Hali ni ya hatari.
Inaonyesha tuna udhaifu bado kwenye military inteligence. Ni hayo tu.
Duh![emoji26]Watu kadhaa wamefariki.
Sitaiweka wazi source.
Hali ni ya hatari.
Inaonyesha tuna udhaifu bado kwenye military inteligence. Ni hayo tu.