Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Mimi naona wasiwaamini sana wanajeshi wa Msumbiji wamo pia wanajeshi waliokuwa kwenye kundi la RENAMO waliojiunga na jeshi la Msumbiji baada ya malidhiano - sina shaka hao ndio wanaweza kuwa wanawapatia taarifa hao magaidi kuhusu movement ya majeshi ya kuleta amani nchini Msumbiji - hata hivyo miaka yote hiyo tangu Msumbiji ipate uhuru wanashindwa nini kujilinda??
Hakuna nchi imewahi kujitosheleza kiulinzi juu ya magaidi.
Tatizo gaidi hatambuliki kwani anajichanganya na raia
 
Endelea kuamini ni propaganda sisi tuliopo huku mpakani tunaona kwa macho yetu hayo mambo ndugu yetu kipanya alichinjwa akatolewa kichwa na hao magaidi na wakasambaza picha za tukio hilo pale kitaya
Uko maeneo gani mkuu?
 
Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.

====

ASKARI WA WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI

Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Hata hivyo tukio hilo inaonekana imetokea Tarehe 15 Nov 2022
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
Hivi wanajeshi wetu wakiwa kwenye mission za kimataifa huwa wanatumia magari yenye namba za JWTZ? Siyo kwamba wanatuamia namba za mission iliyowapeleka kama SADC ama UN!! Najiuliza tu kwa sauti kubwa!! Nisaidieni wajuzi.
 
AK 47 haijawahi kuwa outdated mkuu..
Utachekwa.
AK-47 hata sights za kuweka infrared scope uitumie usiku haina. Ikifika usiku unapigana kama mpuuzi tu wa Boko Haram wakati wewe ni mwanajeshi wa taifa. Huwezi funga sight ya kupima umbali na kulenga shabaha, inategemea uwezo binafsi wa kulenga na uzoefu wa mwanajeshi. Kama unadhani Tanzania ina wanajeshi exceptional kiuwezo basi hujui kulinganisha majeshi au unapumbazwa na uzalendo feki ule unaoamini kujikweza ndio kuipenda nchi.

Hamza pale Salender unajua walimrushia risasi ngapi kabla ya kumuua, wakati ni bonge nyanya refu, kijana mzembe wa familia ya kitajiri hata rifle ukute alikuwa anaziona kwenye movie na aliuwawa barabarani. Sasa angekuwa ni trained terrorist kwa zile AK-47 na SMG unamuua saa ngapi.

Hawa ni Botswana wanazo kama FN FAL na SAR 21
20221122_065823.jpg


Hawa ni Kenya nao wana hizi na AK-47 bado zipo nyingi
20221122_070215.jpg


Hawa ni Russia standard rifle yao kijeshi kwa sasa ni AK-12 ambayo ni derivative ya AK-47 ila ya kisasa ingawa characteristics ni zilezile. Na hii ndio iko very simplified na basic. Waasisi wake wanaziacha kama sio outdated kwa nini
2d67c67efe2144238cb98fb602855024.jpg


Hawa ni China na QBZ-191 ambayo ndio standard rifle. JW niliwaona na kitu kama QBZ-95 mwaka jana/juzi walipopigwa ambush na hawa magaidi ikakamatwa APC ya Kichina. Wachina walikuwa na SMG zao na copycat ya AK-47 wanaita Type 56 wakaziacha. Kama sio outdated kulikuwa na haja gani
1571276541_qbz-191.jpg


Bunduki design ya 1947 haiwezi tumiwa na taifa serious kujilinda. Hiyo ni very cheap ila hata effective range yake ndogo kiasi, accuracy ndio kwa standard za sasa ni ndogo na sights hamna. Hizo bunduki nilizotaja wala sio expensive, sio lazima ziwe hizi. Wajerumani ndio wana bunduki nyingi hatuwezi afford
 
Endelea kuamini ni propaganda sisi tuliopo huku mpakani tunaona kwa macho yetu hayo mambo ndugu yetu kipanya alichinjwa akatolewa kichwa na hao magaidi na wakasambaza picha za tukio hilo pale kitaya
Naaaamini umefungua ID mpya kwa ajili ya Kutuma habari za Ugaidi huko Kusini Mkuu.
 
ka ni kweli soon taanza sikia mtwara vurugu vuruguu za wale wanaovuka mto na kuja kusumbua vijiji jirani
 
Hakuna nchi imewahi kujitosheleza kiulinzi juu ya magaidi.
Tatizo gaidi hatambuliki kwani anajichanganya na raia
Kipindi mauaji ya rufuji..kituo chao kikuu ilikua ikwiriri..hao jamaa bila kuwa na inteligensi kali huwezi kuwamaliza...mana ni raia kama raia tu unakula nao unacheka nao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kipindi mauaji ya rufuji..kituo chao kikuu ilikua ikwiriri..hao jamaa bila kuwa na inteligensi kali huwezi kuwamaliza...mana ni raia kama raia tu unakula nao unacheka nao.

#MaendeleoHayanaChama
Sahihi
 
Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.

====

ASKARI WA WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI

Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Hata hivyo tukio hilo inaonekana imetokea Tarehe 15 Nov 2022
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
Duuh Nimeumia kuaona vifaa vya jesh letu vimeangukia kwa hao magaidi sijajua hali za hao askari wetu kama wako salama au wamekufa.
Yale yanayoikumba Russia huko Ukraine ya kudhalilishwa kwenye mitandao Mapicha ya magari na vifaru vikiibiwa na matrekta ya wakulima ndio Yanayotaka kulikumba Jeshi letu.
MUNGU TULINDE aibu hii ipite na isijirudie tena .

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kinachofanyika ni kuziba barabara na kusimamisha magari na pikipiki na kuanza kuuliza vitambulisho ukipoza 5000 unapita bila shida vijiji vya karibu na mpaka,
Aisee sijui ndio intelijensia yenyewe yaani mjeshi in AK47 inakuuliza kitambulisho tu
 
Dude kama hilo ni bei gani?
Wimbo wangu ni uleule, serikali ya Tanzania nunueni silaha chache za muhimu wala sio gharama kubwa sana. Acheni uzembe wa kutumia Toyota as if sisi ni ISIS au Taliban. Hizo Toyota wars waliziziasisi Chad walipovamiwa na Libya mwishoni mwa 1980s ila nchi maskini za Kiafrika na waasi wakaona ndio cheap alternative wakaiga.

Wanajeshi wanabidi wafanye patrol kwenye MRAP hata wakikutana na IEDs hawapati madhara zaidi au wakipigwa ambush wanaweza jitetea vizuri. Hii ni MRAP imekanyaga bomu la ardhini juzi hapo Ukraine na probably wamesalimika waliokuwa ndaniView attachment 2423412

Majeshi kadhaa ya West Africa baada ya kuona waasi wako very manouverable hutumii heavy armour kama vifaru kuwapiga wakachukua MRAPs hata za 4×4 na zinapiga kazi vizuri.
 
Back
Top Bottom