Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Serikali kuu ya ethiopia waliweza kudhibiti mtafaruku hule wa tigray kwa damu za wanajeshi wa serikali mpka jimboni tigray kwa umadhubutu wa uongozi. Imara wa serikali kuu ,

just ni kuwa. Msumbiju kukiwa wa uhimara wa serikali kuuu. Huu mtafaruku utakuwa historia tuu...
 
Hii ni Hiriz 4×4 imetengenezwa na Uturuki hapa wanaotumia GambiaView attachment 2423420

Hawa ni Botswana. Nimeona AK-47 hapo na JWTZ, hiyo bunduki ni outdated kijeshi labda kama wangekuwa militia. Botswana nowadays sijaona wana bunduki za zamani, hata Kenya hapo wamepunguza kutumia AK-47View attachment 2423419

Hawa ni Uganda General Muhoozi akiwa anakagua Cavalier Hamza 6×6 armoured personnel carrierView attachment 2423422

Sio mambo magumu hata. Hata kutoka South Africa hapo tunaweza ongeza idadi ya protected vehicles. Hao waasi kwa haraka wametumia risasi tu, haikutakiwa iwe tishio kivile. Niko tayari kukosolewa
AK 47 haijawahi kuwa outdated mkuu..
 
Mode naomba ufutwe huu uzi si kila taarifa ina hitaji jamii kujua. Mtoa mada unasafari ya kujifunza juu ya ulinzi n aman ya nchi yako
Uzi ufutwe kwanini??????
Kwanini tusijue kuwa jeshi letu ni makende ya mbuzi...
CCM imewafanya nyinyi kuwa ng'ombe kabisa, kuwa hamhitaji kujua kinachoendelea nchini, ndio maana mpaka leo wapo bado.....
 
Duh hapa lazima tumepoteza Watu aiseeee, hii Iveco imepigwa kibini sidhani kama dereva katoka
 
Back
Top Bottom