Never underestimate your enemy JWTZ.
Relaxation in a battlefield ni kitu kibaya zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Never underestimate your enemy JWTZ.
Wajomba wamekimbia?Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.
====
ASKARI WA WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI
Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa
Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
Hili nalo swali?dhHivi Yale maonesho y kupasua mawe kwa kichwa yanahusianaje na vita wakuu au bas maana nipo MATAKO bar sinza hapa nilikuwa nawaza TU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha dhihaka kwa walinda amani wetu, Allah awe pamoja nao kwa kipindi hiki kigumu kwaoHivi Yale maonesho y kupasua mawe kwa kichwa yanahusianaje na vita wakuu au bas maana nipo MATAKO bar sinza hapa nilikuwa nawaza TU
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol
Poleni JWTZ jipangeni muwanyuke hao Magaidi.
Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movement zao.
Mkuu Msumbiji ilikuwa inachezewa na Serikali ya Makaburu wa Afrika ya Kusini.tangu Msumbiji ipate uhuru wanashindwa nini kujilinda??
Mazoezi ya kuchoma magari? Kajitazame kwenye kioo uone kama ni wewe.Hizo picha ni za mazoezi waliyokuwa wakifanya
Wako kwenye majukumu Yao. Ndiyo kazi waliyoichagua.Acha dhihaka kwa walinda amani wetu, Allah awe pamoja nao kwa kipindi hiki kigumu kwao
But nahisi hawajamshka hata mjesh mmoja hapo maana sioni maiti wala matekaSio mazoezi hayo mzee baba, hebu tazama kioo cha mbele cha hiyo Cruzer kina matundu ya risasi, na hao raia wanaonekana hapo maumbo yao sio ya wanajeshi wa jeiwiii
Huwezi kaa kwenye Toyota kama ile urushiane risasi na mtu aliyepiga ambush. Pale ni sawa na uko nje uwanjani, suluhisho ni kukimbia kuokoa sifa za jeshi na heshima ya nchiBut nahisi hawajamshka hata mjesh mmoja hapo maana sioni maiti wala mateka