Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.

====

ASKARI WA WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI

Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
Wajomba wamekimbia?
Kuna kipindi tuliambiwa vijana wa Kagame wamewamaliza magaidi na kila kitu ni shwali! Sasa nini Tena.
 
Wimbo wangu ni uleule, serikali ya Tanzania nunueni silaha chache za muhimu wala sio gharama kubwa sana. Acheni uzembe wa kutumia Toyota as if sisi ni ISIS au Taliban. Hizo Toyota wars waliziziasisi Chad walipovamiwa na Libya mwishoni mwa 1980s ila nchi maskini za Kiafrika na waasi wakaona ndio cheap alternative wakaiga.

Wanajeshi wanabidi wafanye patrol kwenye MRAP hata wakikutana na IEDs hawapati madhara zaidi au wakipigwa ambush wanaweza jitetea vizuri. Hii ni MRAP imekanyaga bomu la ardhini juzi hapo Ukraine na probably wamesalimika waliokuwa ndani
20221121_200051.png


Majeshi kadhaa ya West Africa baada ya kuona waasi wako very manouverable hutumii heavy armour kama vifaru kuwapiga wakachukua MRAPs hata za 4×4 na zinapiga kazi vizuri.
 
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol

Poleni JWTZ jipangeni muwanyuke hao Magaidi.

Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movement zao.

Mimi naona wasiwaamini sana wanajeshi wa Msumbiji wamo pia wanajeshi waliokuwa kwenye kundi la RENAMO waliojiunga na jeshi la Msumbiji baada ya malidhiano - sina shaka hao ndio wanaweza kuwa wanawapatia taarifa hao magaidi kuhusu movement ya majeshi ya kuleta amani nchini Msumbiji - hata hivyo miaka yote hiyo tangu Msumbiji ipate uhuru wanashindwa nini kujilinda??
 
Hii ni Hiriz 4×4 imetengenezwa na Uturuki hapa wanaotumia Gambia
20221121_202017.jpg


Hawa ni Botswana. Nimeona AK-47 hapo na JWTZ, hiyo bunduki ni outdated kijeshi labda kama wangekuwa militia. Botswana nowadays sijaona wana bunduki za zamani, hata Kenya hapo wamepunguza kutumia AK-47
20221121_201017.jpg


Hawa ni Uganda General Muhoozi akiwa anakagua Cavalier Hamza 6×6 armoured personnel carrier
20221121_201122.jpg


Sio mambo magumu hata. Hata kutoka South Africa hapo tunaweza ongeza idadi ya protected vehicles. Hao waasi kwa haraka wametumia risasi tu, haikutakiwa iwe tishio kivile. Niko tayari kukosolewa
 
tangu Msumbiji ipate uhuru wanashindwa nini kujilinda??
Mkuu Msumbiji ilikuwa inachezewa na Serikali ya Makaburu wa Afrika ya Kusini.
Na lengo lao ilikuwa ni kuwadhoofisha ili vikundi vya Ukombozi kutoka Afrika ya Kusini ambavyo baadhi yao viliweka Makambi ndani ya Msumbiji kabla ya ukombozi wa Zimbabwe.

Serikali ya kibaguzi ya Afrika ya Kusini ilishtuka sana baada ya Serikali ya Walowezi ya Zimbabwe kusarenda na kuanza mazungumzo.

Renamo ya akina Dlakama ilianzishwa na mashushushu wa Afrika ya Kusini.

Mpaka leo Msumbiji haija recover.
 
Back
Top Bottom