Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.

====

ASKARI WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI

Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Hata hivyo tukio hilo inaonekana imetokea Tarehe 15 Nov 2022
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
Propaganda za kijinga tu, kwanini wamesamnazi hizo picha, ili iweje?
 
Haya ni magari ya jwtz yakiwa chini ya himaya ya magaidi. Tunawaombea sana wapiganaji wetu muwe salama, badobTaifa tunawategemea.

====

ASKARI WA TANZANIA WALIOPO MSUMBIJI WAMEPIGWA AMBUSHI

Ripoti za Kitaifa 20.11.2022, ni kwamba Jeshi la Lesotho linafanya kazi pamoja na jeshi la Tanzania katika wilaya ya Nangade, Cabo Delgado waliingia kwenye mtego wa Magaidi katika kijiji cha Vondanhar, eneo la Palma. Jeshi la Tanzania lilikuwa likisafiri kwa magari ya kivita sambamba na jeshi la Msumbiji. Magari matatu ya jeshi la Tanzania yamechomwa moto.na baadhi ya Silaha kuharibiwa

Taarifa iliyotolewa na kikundi cha Kigaidi cha IS, imedai wamekamata baadhi ya Silaha ikiwemo Chinese Type 81-1 assault rifle pamoja na 12.7x108mm Type 54 HMG ya kwenye gari.

Hata hivyo tukio hilo inaonekana imetokea Tarehe 15 Nov 2022
View attachment 2423345View attachment 2423346View attachment 2423347
View attachment 2423397
View attachment 2423423
Nafikiri vituo vya kimataifa Kama BBC ,Aljazeera wangereporti hizi habari.Moods nashauri iwe tetesi tu mpaka tutakapo pata taarifa rasimi.
 
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol

Poleni JWTZ jipangeni muwanyuke hao Magaidi.

Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movement zao.
[emoji1787][emoji1787] umewahi humu!!? Hawa jamaa sio wanapambana na yule jamaa yako anaelinda mali za total[emoji848] [emoji1787][emoji1787] east africa haitotulia mpaka yule jamaa ang'ooke amini hivyo, japo ww unamuombea kheri ila ni jipu
 
Hii ni Hiriz 4×4 imetengenezwa na Uturuki hapa wanaotumia GambiaView attachment 2423420

Hawa ni Botswana. Nimeona AK-47 hapo na JWTZ, hiyo bunduki ni outdated kijeshi labda kama wangekuwa militia. Botswana nowadays sijaona wana bunduki za zamani, hata Kenya hapo wamepunguza kutumia AK-47View attachment 2423419

Hawa ni Uganda General Muhoozi akiwa anakagua Cavalier Hamza 6×6 armoured personnel carrierView attachment 2423422

Sio mambo magumu hata. Hata kutoka South Africa hapo tunaweza ongeza idadi ya protected vehicles. Hao waasi kwa haraka wametumia risasi tu, haikutakiwa iwe tishio kivile. Niko tayari kukosolewa
Umepiga kwenyewe
 
Back
Top Bottom