Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

We bwana wee pamoja na kuponda kooote huko basi useme tu ukweli pia kuwa mkiwekwa ambush kupona ni asilimia 00.005 umeshindia kuponda weee hujui hata speknaz wakitiwa kwenye ambush na SAr tu kutoka mbinde?
Hapo sijaponda ila akili zinatofautiana kuelewa. Wewe kama umeona naponda ndio level ya akili yako.

Hakuna decimal inayotanguliwa na two zeros. Hiyo decimal yako ilibidi iwe 0.005 na sio 00.005, sitaki kujua hiyo probability umeipata kwa study gani.

Haiitwi speknaz kama ulivyotaja inaitwa Spetnaz. Hiyo SAR unayotaja ni kwa close in combat kama secondary weapon, gaidi ni nadra sana kutumia bastola. Hakuna ambush ya kutumia bastola, so mfano wako ni irrelevant. Kwanza hao Spetnaz wasingekuwa na Toyota hardtop.

By the way sijazungumzia chochote kuhusu survivability ya ambush ambayo unanilazimisha. Umeona umuhimu wake ukataja hiyo 00.005
 
Magaidi wao wenyewe wana intelligence na wanajua kutafuta maadui zao. Hakuna haja ya kuuziwa taarifa, na jeshi letu unasema sio dhaifu ila ndio hilo hapo na magari yao yanayotumiwa na makampuni ya kitalii pale Arusha. Na hapo wapo kwenye warzone.

Rwanda hawa hapa wako warzone na magari yao hilo la mbele ndio yanaenda patrolView attachment 2423959Nionyeshe lini umesikia Rwanda, Botswana au South Africa wamepigwa kizembe kama hivi hapo Mozambique, tena mission kubwa inapigwa na Rwanda kuliko sisi. Na ninahisi waasi watakuwa wanafanya ambush zaidi kwa Tanzania kwa maana hakuna upinzani. Toyota hardtop itumike warzone sijui kufanya patrol au kulinda msafara? Tuachane na hiyo Iveco hiyo lazima iwe hivyo. Huku kuendekeza umaskini tunapitiliza.

Ni kawaida ya serikali kutojali kila kitu. Nchi serious zinajali uhai na usalama wa wanajeshi. Hiyo ni mission ya wanajeshi hata 1,000 hawafiki na magari machache tu. Unaona hao Rwanda na Kenya wanaojitutumua nje ya nchi si kwamba wanajeshi wake wote wana sare nzuri, silaha bora na uwezo mkubwa bali kuna wachache wa kuzugia kwenye adversaries wadogo kama magaidi na waasi. Vita ya taifa na taifa watajua mbele ya safari. Sisi mission ya wanajeshi wachache tuna silaha za hivi sijui lengo ni nini.

Huwezi kuwa na jeshi lenye confidence wakati

Hapo sijaponda ila akili zinatofautiana kuelewa. Wewe kama umeona naponda ndio level ya akili yako.

Hakuna decimal inayotanguliwa na two zeros. Hiyo decimal yako ilibidi iwe 0.005 na sio 00.005, sitaki kujua hiyo probability umeipata kwa study gani.

Haiitwi speknaz kama ulivyotaja inaitwa Spetnaz. Hiyo SAR unayotaja ni kwa close in combat kama secondary weapon, gaidi ni nadra sana kutumia bastola. Hakuna ambush ya kutumia bastola, so mfano wako ni irrelevant. Kwanza hao Spetnaz wasingekuwa na Toyota hardtop.

By the way sijazungumzia chochote kuhusu survivability ya ambush ambayo unanilazimisha. Umeona umuhimu wake ukataja hiyo 00.005
Nenda zako huko ujuaji tu umekujaa nenda wewe basi alaaah maneno meeengi uko kwenye mkeka suala ujumbe ufike na uelewe sio unajikuta mjuaji mjuaji utasahihisha mpaka nukta ila uelewe kutoka ambush ndio ilikua ujumbe mkuu acha ujuaji usio na maana wewe
 
Kinachofanyika ni kuziba barabara na kusimamisha magari na pikipiki na kuanza kuuliza vitambulisho ukipoza 5000 unapita bila shida vijiji vya karibu na mpaka,
Mitaa ile Kitambulisho cha mpiga kura,nida ni kama tai na sasa hv nikitembea wilaya zile za mtwara naongeza na barua ya mtendaji kule ninakotoka
 
Nenda zako huko ujuaji tu umekujaa nenda wewe basi alaaah maneno meeengi uko kwenye mkeka suala ujumbe ufike na uelewe sio unajikuta mjuaji mjuaji utasahihisha mpaka nukta ila uelewe kutoka ambush ndio ilikua ujumbe mkuu acha ujuaji usio na maana wewe

Ushashindwa hoja unaleta ngonjera, sote tunajua ambush unaweza otewa muda wowote lakini kitaalamu hata zana zetu zinaudhaifu mkubwa kama unavyojionea hivi umeona RDF wanachofanya na vifaa walivyonavyo na ndio wako front sasa ushawahi kusikia wamewashiwa moto? Kwanza wanavojipanga na muda wote wako makini 24/7 ,
 
Ushashindwa hoja unaleta ngonjera, sote tunajua ambush unaweza otewa muda wowote lakini kitaalamu hata zana zetu zinaudhaifu mkubwa kama unavyojionea hivi umeona RDF wanachofanya na vifaa walivyonavyo na ndio wako front sasa ushawahi kusikia wamewashiwa moto? Kwanza wanavojipanga na muda wote wako makini 24/7 ,
Acha shobo we unakumbuka ngonjera miaka hii? Unataka utuaminishe nini wewe kuwa ambush tumepigwa kwa sababu hatuna vifaa? Anapigwa ambush marekani na majeshi yake advanced unasema nini wewe ambush ni ambush tu usilete ujuaji wako hapa na wewe
 
Unakuwa salama sababu ya wanajeshi

Panya Road tu wakikuvamia ungekimbia kama mwehu na Kuwaita wanajeshi
Siamini sana kuhusu hiyo ya kuwa salama eti kisa jeshi vipi sudan kusini,somalia,syria hamna majeshi?
 
Kwahiyo hao waliofanyiwa ambush wako wapi mpaka dakika hii??
Kwamba wawe hawajamuua hata mmoja ??? Mbona kuna kaukakasi au walishatelekeza magari
 
Ushashindwa hoja unaleta ngonjera, sote tunajua ambush unaweza otewa muda wowote lakini kitaalamu hata zana zetu zinaudhaifu mkubwa kama unavyojionea hivi umeona RDF wanachofanya na vifaa walivyonavyo na ndio wako front sasa ushawahi kusikia wamewashiwa moto? Kwanza wanavojipanga na muda wote wako makini 24/7 ,
RDF Msumbiji [emoji116]
images.jpg
 
Kibiti,Rufiji na Mkuranga ,Dar es salaam, Tanga na Mwanza walijaribu hizo Guerilla war wakidhani wako Nigeria kwenye boko haramu au Somalia kwenye Alshabab wakivamia vituo vya polisi kuua Askari ns kuua viongozi wa serikali kilichowakuta Tanzania hawaji sahau vita zao za Guerilla war

M23 walishawahi ua Askari wa Tanzania kilichofuata ukiuliza M23 yeyote hana hamu na JWTZ walivurumishwa na kuuawa chinjachinja kama kuku bila dua ya kuchinja


Kama kweli wamewazingira subiri moto wake damu ya Askari mmoja wa JWTZ itaondoka na vifo vya magaidi sio chini ya mia tano

Wajiandae kuuawa kama kuku kama kweli wamechokoza mzinga wa nyuki
JWTZ hamna kitu, wanachoweza ni kusumbua raia tu
 
Mkuu Msumbiji ilikuwa inachezewa na Serikali ya Makaburu wa Afrika ya Kusini.
Na lengo lao ilikuwa ni kuwadhoofisha ili vikundi vya Ukombozi kutoka Afrika ya Kusini ambavyo baadhi yao viliweka Makambi ndani ya Msumbiji kabla ya ukombozi wa Zimbabwe.

Serikali ya kibaguzi ya Afrika ya Kusini ilishtuka sana baada ya Serikali ya Walowezi ya Zimbabwe kusarenda na kuanza mazungumzo.

Renamo ya akina Dlakama ilianzishwa na mashushushu wa Afrika ya Kusini.

Mpaka leo Msumbiji haija recover.
Mambo ya renamo yalishaisha hawa magaidi wametoka Tanzania hiihii wakakimbilia huko msumbiji ndio wanasumbua.
 
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol

Poleni JWTZ jipangeni muwanyuke hao Magaidi.

Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movements zao.
Wamevamia wakiwa Mozambique... je. wanafanya nn mozambique?

Kuna majanga mengine yakujitakia
 
Wajomba wamekimbia?
Kuna kipindi tuliambiwa vijana wa Kagame wamewamaliza magaidi na kila kitu ni shwali! Sasa nini Tena.
Walikimbilia mistituni tena walikuwa wakisogea karibu na mpaka wetu.
 
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol

Poleni JWTZ jipangeni muwanyuke hao Magaidi.

Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movements zao.
Huko msumbiji si tuliambiwa wajeshi wa kagame walimaliza tatizo kwa siku moja tu?
 
Back
Top Bottom