Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Mwanangu upo vizuri sana sema nini sisi tupo tayari tununue wakina Halima Mdee kuliko amoured vehicle na silaha za kileo. JUZI nimeona zile demo za silaha kule mpakani mwa msumbiji na Tz nimegundua amani yetu inatulemaza na kutusahaulisha sana. KENYA walikuwa wabovu kuliko sisi tangu wapate misukosuko ya alshabab wameweka bajeti wanajitahidi hata kwenye bajeti ya kununua vifaa vya jeshi vya ki leo
Kwa hio unataka tukuambie kila kinachonunuliwa.? Vitu vingine huwez jua umekalia mambo ya vavicha tu na ufipa wenu
 
Kwa hio unataka tukuambie kila kinachonunuliwa.? Vitu vingine huwez jua umekalia mambo ya vavicha tu na ufipa wenu
Modern wepon hatuna bado mna vita vya kuchomana kwa singe infantria sio jeshi la kutegemea hameni huko Amani isitupumbaze
 
Hii ni Hiriz 4×4 imetengenezwa na Uturuki hapa wanaotumia GambiaView attachment 2423420

Hawa ni Botswana. Nimeona AK-47 hapo na JWTZ, hiyo bunduki ni outdated kijeshi labda kama wangekuwa militia. Botswana nowadays sijaona wana bunduki za zamani, hata Kenya hapo wamepunguza kutumia AK-47View attachment 2423419

Hawa ni Uganda General Muhoozi akiwa anakagua Cavalier Hamza 6×6 armoured personnel carrierView attachment 2423422

Sio mambo magumu hata. Hata kutoka South Africa hapo tunaweza ongeza idadi ya protected vehicles. Hao waasi kwa haraka wametumia risasi tu, haikutakiwa iwe tishio kivile. Niko tayari kukosolewa
Ungefungua Thread inayoendana na mambo haya na tukawa tunayachangia huko Kwa urefu zaidi binafsi nina waamini sana wataalam wetu mliopo humu musichoke kuandika na nina amini wanaona. Hii naona kama inakua ngumu sana maana Kuna mengi munayafahamu ila munaandika Kwa uchache tuwe na nyuzi zenye tija Kwa taifa na zinazokimbia kama zile za kula tunda kimasihara,kubet n.k
 
Wakuu nilikuwa nauliza hivi hiki kikosi kinachomlinda rais mbona gwanda zao ni tofauti kabisa je ni za kutoka kitengo gani ni Usalama au JWtz maana naona kama ni ngeni machoni pangu.

Pia hiyo silaha aliebeba mwamba apo inaitwaje na vp kwenye ambush ipo vizuri na je ni ya kisasa?

T14 Armata imhotep na wengineo
IMG_20221127_130532_521.jpg
IMG_20221127_132551_988.jpg
IMG_20221127_132523_009.jpg
 
Wakuu nilikuwa nauliza hivi hiki kikosi kinachomlinda rais mbona gwanda zao ni tofauti kabisa je ni za kutoka kitengo gani ni Usalama au JWtz maana naona kama ni ngeni machoni pangu.

Pia hiyo silaha aliebeba mwamba apo inaitwaje na vp kwenye ambush ipo vizuri na je ni ya kisasa?

T14 Armata imhotep na wengineo View attachment 2428951View attachment 2428952View attachment 2428953
Hiyo gun siijui na huwa napata ugumu kujua bunduki zisizo common, ambazo sio heavy machine guns na zisizotumika kwa ujumla kama na infantry. Ila sifa ya bunduki za vikosi maalum vya ulinzi wa viongozi huwa ni rapid fire, accuracy kubwa na hazilazimiki kuwa na range kubwa
 
Wakuu nilikuwa nauliza hivi hiki kikosi kinachomlinda rais mbona gwanda zao ni tofauti kabisa je ni za kutoka kitengo gani ni Usalama au JWtz maana naona kama ni ngeni machoni pangu.

Pia hiyo silaha aliebeba mwamba apo inaitwaje na vp kwenye ambush ipo vizuri na je ni ya kisasa?

T14 Armata imhotep na wengineo View attachment 2428951View attachment 2428952View attachment 2428953
Unaweza Kuta hiyo bunduki haina hata risasi si unatujua wabongo tulivyo Na maigizo.
 
Hiyo gun siijui na huwa napata ugumu kujua bunduki zisizo common, ambazo sio heavy machine guns na zisizotumika kwa ujumla kama na infantry. Ila sifa ya bunduki za vikosi maalum vya ulinzi wa viongozi huwa ni rapid fire, accuracy kubwa na hazilazimiki kuwa na range kubwa
Ilo gwanda nalo vp mbona kama tofauti ya majeshi yetu??
 
Magaidi wao wenyewe wana intelligence na wanajua kutafuta maadui zao. Hakuna haja ya kuuziwa taarifa, na jeshi letu unasema sio dhaifu ila ndio hilo hapo na magari yao yanayotumiwa na makampuni ya kitalii pale Arusha. Na hapo wapo kwenye warzone.

Rwanda hawa hapa wako warzone na magari yao hilo la mbele ndio yanaenda patrolView attachment 2423959Nionyeshe lini umesikia Rwanda, Botswana au South Africa wamepigwa kizembe kama hivi hapo Mozambique, tena mission kubwa inapigwa na Rwanda kuliko sisi. Na ninahisi waasi watakuwa wanafanya ambush zaidi kwa Tanzania kwa maana hakuna upinzani. Toyota hardtop itumike warzone sijui kufanya patrol au kulinda msafara? Tuachane na hiyo Iveco hiyo lazima iwe hivyo. Huku kuendekeza umaskini tunapitiliza.

Ni kawaida ya serikali kutojali kila kitu. Nchi serious zinajali uhai na usalama wa wanajeshi. Hiyo ni mission ya wanajeshi hata 1,000 hawafiki na magari machache tu. Unaona hao Rwanda na Kenya wanaojitutumua nje ya nchi si kwamba wanajeshi wake wote wana sare nzuri, silaha bora na uwezo mkubwa bali kuna wachache wa kuzugia kwenye adversaries wadogo kama magaidi na waasi. Vita ya taifa na taifa watajua mbele ya safari. Sisi mission ya wanajeshi wachache tuna silaha za hivi sijui lengo ni nini.

Huwezi kuwa na jeshi lenye confidence wakati halina zana basic
Aya
 
Wana siasa waachee kuiba pesa wanunue siraha[emoji81][emoji81][emoji81]
 
hakuna mjaja kwenye vitani ukisha zidiwa akili tu basi aiwezekani kupeleka silaha tofaoti na hizi hali yakuwa adui anatumia magobole unapo sema selaha zao jwt za kizamani ndio kusema hao maadui wazo za kisasa?
hata uwe nasilaha kama za warusi ukizidiwa akili umekwenda na maji

kule iraq wamarekani walikufa sana pamoja na kuwa silaha za kisasa afoghani sitani mpaka wamekimbia pamoja na silaha zao nyingine wame ziwacha

wakenya kule kwao na somali jeshi lao kila siku linaumizwa waliwai vamia kambi na kuua 100 katika jeshi la burundi hilo kundi la magaidi ni wanajeshi kama wanajishi wengine tu kasolo hawana nchi wanayo itawala mbinu nihizo hizo wanazotumia wanajeshi wa kenya tz rwanda na kuigineko sioni sababu ya kulaumu jwt
 
hakuna mjaja kwenye vitani ukisha zidiwa akili tu basi aiwezekani kupeleka silaha tofaoti na hizi hali yakuwa adui anatumia magobole unapo sema selaha zao jwt za kizamani ndio kusema hao maadui wazo za kisasa?
hata uwe nasilaha kama za warusi ukizidiwa akili umekwenda na maji

kule iraq wamarekani walikufa sana pamoja na kuwa silaha za kisasa afoghani sitani mpaka wamekimbia pamoja na silaha zao nyingine wame ziwacha

wakenya kule kwao na somali jeshi lao kila siku linaumizwa waliwai vamia kambi na kuua 100 katika jeshi la burundi hilo kundi la magaidi ni wanajeshi kama wanajishi wengine tu kasolo hawana nchi wanayo itawala mbinu nihizo hizo wanazotumia wanajeshi wa kenya tz rwanda na kuigineko sioni sababu ya kulaumu jwt
kweli mazee!!!!....ata somalia marekali alichemka vibaya sana na walikimbia pamoja silaha zao za maangamizi!!
 
Hilo ni jambo jema sana, kuweka GPS kwenye silaha na kuzitelekeza huku mkizimonitor is good methods ya kufahamu machimbo yao na kuwamaliza.
Ni idea nzuri sana ila unahitaji kuwa hatua Moja mbele ya adui yako maana vita kama hizi adui aking'amua anaweza kuitumia hiyo gps kama chambo
 
Ni idea nzuri sana ila unahitaji kuwa hatua Moja mbele ya adui yako maana vita kama hizi adui aking'amua anaweza kuitumia hiyo gps kama chambo

Kama chambo kivipi, unafuata hizo GPS kwa kutumia drones and pia kuwahusisha bwana wakubwa Marekani na satellite zao, wanashushiwa mapigo ya kutoka angani.
 
Back
Top Bottom