Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Hawa ISIS wa msumbuiji wanatumia uchawi 100% kama wale wa congo mkienda kizembe mnakufa wote. RIP my anko 2017 alikuwa mwanajeshi wa mpakani alichinjwa na hao jamaa wa msumbiji kwenye kijiji cha mpundanyali pembezoni mwa mpaka wa mtwara na msumbiji kabla hajafa alikuwa akinipa stori kupitia whatsapp mambo wanayokutana nayo huko... kule wakikukuta njiani wanakuamrisha utamke mstari mmoja wa quran unaoukumbuka ili kuthibitisha kama kweli wewe ni muislam ukishindwa kuthibitisha walau neno moja la quran wanakata kichwa chako... ila ukithibitisha unakuwa mwenzao wanakuunganisha kwenye kundi lao nawe unakuwa mpiganaji wa kiislamu kupitia taasisi ya ISIS.
 
Kwa ulimwengu wa sasa hivi kufanya Patrol za adui wa kivita bila drones ni kujiingiza kwenye mdomo wa Chatu.

Huwezi kuwinda adui kwa darubini katika ulimwengu wa kisasa.
Unaweza kutumia darubini za infrared (thermal image) zinazosense joto tofauti na mazingira, hivyo hata kama adui kajichimbia ardhini ataonekana tu
 
Unaweza kutumia darubini za infrared (thermal image) zinazosense joto tofauti na mazingira, hivyo hata kama adui kajichimbia ardhini ataonekana tu
Inamaana jeshi letu halina hata hizo darubini!!? Au zipo ila ndio wanapigia pic za status!!?
 
Sidhani kama tuna thermal imager scopes[emoji53]
Duh! Hatuna maana hata kidogo na hatufai hata kwa matumizi ya bila sababu
JamiiForums-1657662508.jpg
 
Ambush haina ujanja, Jeshi letu lianze kutumia Recconaissance Drones ndogo ndogo, ili kubaini mitego ya Ambush wakati mkiwa kwenye patrol

Poleni JWTZ, jipangeni muwanyuke hao Magaidi.

Hawa Magaidi wanatumia Guerrilla style ni vigumu kuwapata ila tumieni sana inteligence ili kujua Movements zao.
GUerilla war ni ya kingese sana aisee!
 
Wajomba wamekimbia?
Kuna kipindi tuliambiwa vijana wa Kagame wamewamaliza magaidi na kila kitu ni shwali! Sasa nini Tena.
Hakuna sehem haina ugaif ila kuna kuudhoofisha tu na sio kuwamaliza ,media zetu za mchongo ndo zilidai hivyo ila Rwanda walisema adui karudishwa nyuma kweny strategic parts of fight
 
Hawa ISIS wa msumbuiji wanatumia uchawi 100% kama wale wa congo mkienda kizembe mnakufa wote. RIP my anko 2017 alikuwa mwanajeshi wa mpakani alichinjwa na hao jamaa wa msumbiji kwenye kijiji cha mpundanyali pembezoni mwa mpaka wa mtwara na msumbiji kabla hajafa alikuwa akinipa stori kupitia whatsapp mambo wanayokutana nayo huko... kule wakikukuta njiani wanakuamrisha utamke mstari mmoja wa quran unaoukumbuka ili kuthibitisha kama kweli wewe ni muislam ukishindwa kuthibitisha walau neno moja la quran wanakata kichwa chako... ila ukithibitisha unakuwa mwenzao wanakuunganisha kwenye kundi lao nawe unakuwa mpiganaji wa kiislamu kupitia taasisi ya ISIS.
Hii ndio dini ya haki wanayoitete humu wafia dini.

#MaendeleoHayanaChama
 
GUerilla war ni ya kingese sana aisee!
Ndiio ilyo waondoa Wareno Msumbiji na Selikali ya Walowezi ya Ian Smith wa Rodhesia Zmbabwe ya leo.

Lakini hawa Magaidi tutawachapa tu tunajua mbinu za Bush War huenda kuliko kushinda Nchi nyingi za SADC.
 
Wimbo wangu ni uleule, serikali ya Tanzania nunueni silaha chache za muhimu wala sio gharama kubwa sana. Acheni uzembe wa kutumia Toyota as if sisi ni ISIS au Taliban. Hizo Toyota wars waliziziasisi Chad walipovamiwa na Libya mwishoni mwa 1980s ila nchi maskini za Kiafrika na waasi wakaona ndio cheap alternative wakaiga.

Wanajeshi wanabidi wafanye patrol kwenye MRAP hata wakikutana na IEDs hawapati madhara zaidi au wakipigwa ambush wanaweza jitetea vizuri. Hii ni MRAP imekanyaga bomu la ardhini juzi hapo Ukraine na probably wamesalimika waliokuwa ndaniView attachment 2423412

Majeshi kadhaa ya West Africa baada ya kuona waasi wako very manouverable hutumii heavy armour kama vifaru kuwapiga wakachukua MRAPs hata za 4×4 na zinapiga kazi vizuri.
Bajeti ya ulinzi na usalama AFRICA huku sio kipaumbele ndo maana tukipata majanga Tunafunga na kuomba Mungu ili aingilie kati
 
Magaidi waliua kweli hadi polisi kilichofuata magaidi walichinjwa na kuuawa na kupotezewa waliotoka nchi zingine ndugu zao hawajui hata makaburi yao yaliko

Ndio masalia manusura wakatimukia Mozambique kama kweli wamezingira JWTZ ni kuwa sasa inaanza vita rasmi ya kupambana nao

JWTZ haijawahi katika historia yao kushindwa operation ya kivita nchi yeyote

Wajiandae kukiona cha mtema kuni hao magaidi
Who is commander in chief to allow that? The real dude is in grave
 
Hii ni Hiriz 4×4 imetengenezwa na Uturuki hapa wanaotumia GambiaView attachment 2423420

Hawa ni Botswana. Nimeona AK-47 hapo na JWTZ, hiyo bunduki ni outdated kijeshi labda kama wangekuwa militia. Botswana nowadays sijaona wana bunduki za zamani, hata Kenya hapo wamepunguza kutumia AK-47View attachment 2423419

Hawa ni Uganda General Muhoozi akiwa anakagua Cavalier Hamza 6×6 armoured personnel carrierView attachment 2423422

Sio mambo magumu hata. Hata kutoka South Africa hapo tunaweza ongeza idadi ya protected vehicles. Hao waasi kwa haraka wametumia risasi tu, haikutakiwa iwe tishio kivile. Niko tayari kukosolewa
Mwanangu upo vizuri sana sema nini sisi tupo tayari tununue wakina Halima Mdee kuliko amoured vehicle na silaha za kileo. JUZI nimeona zile demo za silaha kule mpakani mwa msumbiji na Tz nimegundua amani yetu inatulemaza na kutusahaulisha sana. KENYA walikuwa wabovu kuliko sisi tangu wapate misukosuko ya alshabab wameweka bajeti wanajitahidi hata kwenye bajeti ya kununua vifaa vya jeshi vya ki leo
 
Ushashindwa hoja unaleta ngonjera, sote tunajua ambush unaweza otewa muda wowote lakini kitaalamu hata zana zetu zinaudhaifu mkubwa kama unavyojionea hivi umeona RDF wanachofanya na vifaa walivyonavyo na ndio wako front sasa ushawahi kusikia wamewashiwa moto? Kwanza wanavojipanga na muda wote wako makini 24/7 ,
Hawajapigwa ambush unauhakika..au kwakuwa hii ndiyo habari pekee uliyoipata...ambush ni ambush haijalishi vifaa ulivyonavyo..hiyo gari y Rwanda unayoisifia ni boxi nyanya mbele ya ambush
 
Back
Top Bottom