Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho

Kwa hio unataka tukuambie kila kinachonunuliwa.? Vitu vingine huwez jua umekalia mambo ya vavicha tu na ufipa wenu
 
Kwa hio unataka tukuambie kila kinachonunuliwa.? Vitu vingine huwez jua umekalia mambo ya vavicha tu na ufipa wenu
Modern wepon hatuna bado mna vita vya kuchomana kwa singe infantria sio jeshi la kutegemea hameni huko Amani isitupumbaze
 
Ungefungua Thread inayoendana na mambo haya na tukawa tunayachangia huko Kwa urefu zaidi binafsi nina waamini sana wataalam wetu mliopo humu musichoke kuandika na nina amini wanaona. Hii naona kama inakua ngumu sana maana Kuna mengi munayafahamu ila munaandika Kwa uchache tuwe na nyuzi zenye tija Kwa taifa na zinazokimbia kama zile za kula tunda kimasihara,kubet n.k
 
Wakuu nilikuwa nauliza hivi hiki kikosi kinachomlinda rais mbona gwanda zao ni tofauti kabisa je ni za kutoka kitengo gani ni Usalama au JWtz maana naona kama ni ngeni machoni pangu.

Pia hiyo silaha aliebeba mwamba apo inaitwaje na vp kwenye ambush ipo vizuri na je ni ya kisasa?

T14 Armata imhotep na wengineo
 
Hiyo gun siijui na huwa napata ugumu kujua bunduki zisizo common, ambazo sio heavy machine guns na zisizotumika kwa ujumla kama na infantry. Ila sifa ya bunduki za vikosi maalum vya ulinzi wa viongozi huwa ni rapid fire, accuracy kubwa na hazilazimiki kuwa na range kubwa
 
Unaweza Kuta hiyo bunduki haina hata risasi si unatujua wabongo tulivyo Na maigizo.
 
Ilo gwanda nalo vp mbona kama tofauti ya majeshi yetu??
 
Aya
 
Wana siasa waachee kuiba pesa wanunue siraha[emoji81][emoji81][emoji81]
 
hakuna mjaja kwenye vitani ukisha zidiwa akili tu basi aiwezekani kupeleka silaha tofaoti na hizi hali yakuwa adui anatumia magobole unapo sema selaha zao jwt za kizamani ndio kusema hao maadui wazo za kisasa?
hata uwe nasilaha kama za warusi ukizidiwa akili umekwenda na maji

kule iraq wamarekani walikufa sana pamoja na kuwa silaha za kisasa afoghani sitani mpaka wamekimbia pamoja na silaha zao nyingine wame ziwacha

wakenya kule kwao na somali jeshi lao kila siku linaumizwa waliwai vamia kambi na kuua 100 katika jeshi la burundi hilo kundi la magaidi ni wanajeshi kama wanajishi wengine tu kasolo hawana nchi wanayo itawala mbinu nihizo hizo wanazotumia wanajeshi wa kenya tz rwanda na kuigineko sioni sababu ya kulaumu jwt
 
kweli mazee!!!!....ata somalia marekali alichemka vibaya sana na walikimbia pamoja silaha zao za maangamizi!!
 
Hilo ni jambo jema sana, kuweka GPS kwenye silaha na kuzitelekeza huku mkizimonitor is good methods ya kufahamu machimbo yao na kuwamaliza.
Ni idea nzuri sana ila unahitaji kuwa hatua Moja mbele ya adui yako maana vita kama hizi adui aking'amua anaweza kuitumia hiyo gps kama chambo
 
Ni idea nzuri sana ila unahitaji kuwa hatua Moja mbele ya adui yako maana vita kama hizi adui aking'amua anaweza kuitumia hiyo gps kama chambo

Kama chambo kivipi, unafuata hizo GPS kwa kutumia drones and pia kuwahusisha bwana wakubwa Marekani na satellite zao, wanashushiwa mapigo ya kutoka angani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…