Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

Mwisho mtasema kivuli chako ni basha linakufuata. Mtakufa kwa wasiwasi kwa kuwaza mambo ya uongo. Watu wanatoa misaada ya taulo za kike ila kwenye miswaki na dawa ya meno imekua mambo ya hormone. Kijiji kina meno ya njano kinahamasiswa kupiga mswaki kuwekwa afya ya kinywa salama wengine mnageuza.

Tuache upotoshaji chaaaaa
 
Nafikisha karibu milongo miwili situmii hizo dawa zenu natumia natural like garlic, ama sodium bicarbonate yaani kidogo huwa naiona elimu ilichonisaidia yaani it's possible kubeba mkuki na kitabu simultaneously
 
Sorry ni kwelini mbaya sikuchunguza ulikuwa unamaanisha kivipi
Kwahiyo hii ndio source😂😂😂😂. Halafu mshawahi kujiuliza ni hormone gani hiyo inamgeuza mtu kuwa hao muwatakao😂😂😂😂. Ninani alikwambia hao watu wana hormonal imbalances kwanza😂😂😂. Nchi hii acha kila mtu aishi maisha yake, ila yote haya ni athari ya mapicha ya ngono, ndio maana mnaambiwa malezi, malezi narudia tena malezi. Tena utawakuta wana testosterone levels kuliko huyo rijali umjuaye wewe. Acheni siasa😂😂😂
 
IMG-20230331-WA0000.jpg

Nikiunganisha dots za huyo dogo aliyekaa kwenye wheelchair hiyo tshirt aliyoivaa na hiyo bendera naanza kuamini hii kitu ipo kimkakati
 
Nafikisha karibu milongo miwili situmii hizo dawa zenu natumia natural like garlic, ama sodium bicarbonate yaani kidogo huwa naiona elimu ilichonisaidia yaani it's possible kubeba mkuki na kitabu simultaneously
Safi
 
Back
Top Bottom