Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

Wakuu habari,

Kwa mwenye uelewa tusaidiane. Watoto wa shule za primary wamekua wakipewa dawa za meno na mswaki kwa lengo la kuhamasisha usafi wa kinywa. Licha ya nia kua nzuri lakini pamekua na sintofahamu ikidaiwa dawa za meno zinazotolewa zina madhara kwenye upande wa hormones. Wadau mnaopita huko mashuleni hawa watoto wetu wanapewa hizi dawa na miswaki.

Je, kuna usalama wa kiafya?
Kwanini kampeni haikujikita kuhamaisha bila kugawa dawa za kuswakia? Je kama kuna madhara, si hizo bidhaa zilithibitishwa na tbs? Watoto wetu wasije kukosa uwezo kufanya mambo.

Wizara ya elimu na wadau husika chunguzeni, tusije kuharibu watoto wetu.

View attachment 2571870
Zichunguzwe hali si nzuri kwa watoto wetu hasa wa kiume
 
Wajiona watu muhimu sana katika hii dunia,mbona nchi nyingine za africa hatusikii huu ujinga
Hausikii kwa sababu hufatilii. Wewe unataka ujue ya hukl guinea au Angola ikiwa hufatilii habari zao
 
Ngoja mwanao atumie alaf akija kukosa nguv za kiume uanze kwenda maombi
We mzee baba kweli mzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], maana naona ushapata hysteria. Yaani kwamsingi, hapo wewe unaogopa hayo mavitu kiasi ambacho unajiletea phobia ya kuanza kuquestion kila kitu kwenye mazingira yako. Utawaharibu hadi watoto sasa kwahiyo psychologia yako. Tulizana, acha uoga na mlee mtoto kwanjia ipasayo nayo hataiacha hata atakapokuwa mzee. Umeexaggerate boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio mkuu, effects za fluoride mojawapo ni hio. Watoto wanaezakosa uwezo wa kuzalisha au kureduce fertility levels
Chief, unajua fluoride ipo kwenye vitu vingapi ambavyo ulikuwa unatumia tangu utotoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], dah! Hii nchi kweli elimu niyakukaririshwa.
 
Chief, unajua fluoride ipo kwenye vitu vingapi ambavyo ulikuwa unatumia tangu utotoni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], dah! Hii nchi kweli elimu niyakukaririshwa.
Najua mkuu, sijakariri. Wewe unajua kiwango gani cha fluoride kinatakiwa kwenye dawa za meno?
 
Tunajishtukia sana.
Tatizo ngono ipo mbele kwenye akili ya mtanzania.
Sii hivo mkuu
Tutatawaliwa mpk lini? Jiulize ingekua ni wazungu tunawapelekea hio misaada kama wangekosa maswali
 
Najua mkuu, sijakariri. Wewe unajua kiwango gani cha fluoride kinatakiwa kwenye dawa za meno?
Najua kila kitu chief😂😂😂, nampaka sasaivi umetumia fluoride nyingi kuliko unavyoiona kwenye dawa ya mswaki, laasivyo usiwe unatumia maji ya dawasa. Sawa chief, yaani usiyatumie kabisa😂😂😂😂. Bongo shida
 
Najua kila kitu chief😂😂😂, nampaka sasaivi umetumia fluoride nyingi kuliko unavyoiona kwenye dawa ya mswaki, laasivyo usiwe unatumia maji ya dawasa. Sawa chief, yaani usiyatumie kabisa😂😂😂😂. Bongo shida
Maji Yanawekwa fluoride lkn kwa level gani mkuu? Kiwango kikizidi kina impact kubwa sana. Sasa njoo kwny hizo dawa nazokuuliza, unajua kiwango chake?
 
Maji Yanawekwa fluoride lkn kwa level gani mkuu? Kiwango kikizidi kina impact kubwa sana. Sasa njoo kwny hizo dawa nazokuuliza, unajua kiwango chake?
Ndiyo maana nikakwambia, wewe siunataka kiwango😂😂😂, ni frequency x per amount ndio ujue quantity ujue uliyotumia tangu utotoni mpaka leo. Fluoride inaside effect ila ya kwanza ungeona meno yako yatakavyoleta changamoto nakuwa kama glass mwishowe kubanjuka kama utani. Pia jua karibia aina zote za dawa ya meno zina fluoride isipokuwa zipo kama za aina mbili ndio inatumia aina nyingine ya chemical ila effect ni similar na fluoride. Hivyo jua tangu utotoni umukunywa maji na kutumia dawa ya meno iliyo na Fluoride. Piga hizo hesabu sasa. Achaga hysteria bro! 😂😂😂 itakupa mental disorder.
 
Watanzania.

Mnawaza kudhuriwa dhuriwa tu.
Watanzania tuna shida sana, kwani wakitaka kutuangamiza si wanaweza kutuwekea kwenye hizi tunazo nunua. Ni bidhaa ngapi zinatoka nje ya nje? Hebu tuacheni kuwa na mawazo hasi.
 
Ndiyo maana nikakwambia, wewe siunataka kiwango😂😂😂, ni frequency x per amount ndio ujue quantity ujue uliyotumia tangu utotoni mpaka leo. Fluoride inaside effect ila ya kwanza ungeona meno yako yatakavyoleta changamoto nakuwa kama glass mwishowe kubanjuka kama utani. Pia jua karibia aina zote za dawa ya meno zina fluoride isipokuwa zipo kama za aina mbili ndio inatumia aina nyingine ya chemical ila effect ni similar na fluoride. Hivyo jua tangu utotoni umukunywa maji na kutumia dawa ya meno iliyo na Fluoride. Piga hizo hesabu sasa. Achaga hysteria bro! 😂😂😂 itakupa mental disorder.
Mkuu Wewe unazungumzia kuanzia utotoni, sijakukatalia lkn toka utotoni nilikua natumia recommended level ya fluoride. Hizo dawa unaambiwa zina excess fluoride ndo maana impact yake inatajwa upande wa fertility. Fanya research yako ujue uhalisia uliojificha
 
Imekuwa misaada ya kulazimishana sasa kwa baadhi ya vitu..... Hivi hatuwezagi kusema HAPANA??
Hivi mnadhani hizo dawa zinakuja kutoka nje ya nchi? Si zinanunuliwa hapa hapa kwenye maduka yetu?
 
Back
Top Bottom