Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

Mswaki na Dawa zinazotolewa mashuleni ni salama?

Haya mambo nimeyasikia kuna shule mkoani Ruvuma wanafunzi wanagawiwa hizo dawa za meno na miswaki zikidaiwa kuchochea vitendo vya ushoga,hii vita ni kubwa sijui kama serikali itaiweza
Shule zipiii??? Hebu zitajeee
 
Unachozungumzia ni kitu tofauti.
Dawa wanazotumia watoto za kiafya au chanjo ni dawa universal zinatumiwa. Hapa tunazungumzia dawa ya meno ambayo wapo wazaz wanamudu. Tunachoquestion ni madhara inayodaiwa yatatokea
Pia mtazamo wangu hauwezi kuwa sawa na wako, na shule zetu huwa hazitoi taarifa kwa wazazi wala kutoa option kwa mtoto anaetaka wao wanagawa kwa wote na hii ni kutokana na order wanazopewa wakuu wa shule.Ndio maana binafsi nimefundisha watoto na walimu wanajua wanangu ni exempted kny hayo mavitu ya kupewa.
 
Watanzania.

Mnawaza kudhuriwa dhuriwa tu.
Ni watoto wetu, sisi wakubwa inabid tuwasaidie maswali. Wewe ungeletewa dawa ya kuswakia tu bure ungefanyeje
 
Pia mtazamo wangu hauwezi kuwa sawa na wako, na shule zetu huwa hazitoi taarifa kwa wazazi wala kutoa option kwa mtoto anaetaka wao wanagawa kwa wote na hii ni kutokana na order wanazopewa wakuu wa shule.Ndio maana binafsi nimefundisha watoto na walimu wanajua wanangu ni exempted kny hayo mavitu ya kupewa.
Sawa mkuu
Hili suala ilibidi kujua wahitaji na wazazi/walezi kushirikishwa. Lengo ni kue na uwazi wa usalama wa hizo dawa za meno kwa matumiz ya watto
 
Ziombeeni hakuna kitu kitakachomdhuru mtoto ikiwa kimeombewa..
Ombea watoto na hatari zote za roho na za mwili..hivi hivi hauwezi bila mkono wa Mungu
 
Imekuwa misaada ya kulazimishana sasa kwa baadhi ya vitu..... Hivi hatuwezagi kusema HAPANA??
Kwasababu sisi ni maskini, na tunashida. Viongozi wanakosa jeuri ya kusema hapana. Ila inabidi wawe na misimamo, wakikubali jambo bas liwe na guarantee kua ni Salama
 
Kwasababu sisi ni maskini, na tunashida. Viongozi wanakosa jeuri ya kusema hapana. Ila inabidi wawe na misimamo, wakikubali jambo bas liwe na guarantee kua ni Salama
Sawa... Hata Kama tunashida.... Hivi tuna shida ya dawa za miswaki?

Tunashida ya kufunguliwa miradi ya ufugaji wa kuku?? Kweli? Ndio nahitaji yetu ya msingi??
 
Back
Top Bottom