Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu weweFundisha mwanao kutopokea dawa za minyoo,vitamins ama chochote shuleni zaidi ya Elimu na chakula.
IdiotAcha upumbavu wewe
Unachozungumzia ni kitu tofauti.Fundisha mwanao kutopokea dawa za minyoo,vitamins ama chochote shuleni zaidi ya Elimu na chakula.
Wewe hukutumia ndo mana una minyooIdiot
Acheni kupotoshaFundisha mwanao kutopokea dawa za minyoo,vitamins ama chochote shuleni zaidi ya Elimu na chakula.
Ila watuNgoja mwanao atumie alaf akija kukosa nguv za kiume uanze kwenda maombi
Misaada ya namna hii tatizo ikija haina discussion. Inakua na target ifike kwa wahusika basNdio kwa sababu hata km mm lazma nishtuke naona mtoto anakuja na dawa nyumbani
Pili mwisho dawa inatumika nyumbani alike mzazi sasa km humshirikishi hapo inakaaje
Inasemekana zinapunguza hormone za kiume mkuu. Inabid wafanye utafit upyaHaya mambo nimeyasikia kuna shule mkoani Ruvuma wanafunzi wanagawiwa hizo dawa za meno na miswaki zikidaiwa kuchochea vitendo vya ushoga,hii vita ni kubwa sijui kama serikali itaiweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazungu wamechachamaa
hapana Mkuu, umaskini si laana bali ujinga ndio laana kuuUmaskini ni laana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaanz kuwapa hizo za kawaida then baadae mnapew za kishogaa
Wengi watakataa ila huo ndiyo ukweli.Umaskini ni laana.